kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,348
- 9,082
Kuna mchangiaji mmoja kwakwambia nenda kwao kamlilie.Dah, yaani acha tu nimembeleza mpaka nimepata msongo najuta kumtania vile
Kuna mchangiaji mmoja kwakwambia nenda kwao kamlilie.Dah, yaani acha tu nimembeleza mpaka nimepata msongo najuta kumtania vile
Kilichokukosesha mpenzi sio utani, ni UTOTO
Nmekupenda bure lolthere is hidden truth behind "just kidding"..usipende kuwatania wasichana kuhusu maumbile yao mkuu..coz most of girls are so insecure with their bodies..dont joke with them
nimefurahi kuona cheko lako..hope uko poaNmekupenda bure lol
At 23 nilikuwa bize sana na maisha kuhangaishwa na watoto wa kike aisee...! sijui lakini
Sijui!!Kwani we unaonaje?Ukitaniwa kwenye udhaifu wako itakusumbua gorgeousmimi..?
Sijui!!Kwani we unaonaje?
Wakati mwingine ukwel unauma sasa kwa hayo maneno hata Mimi ungepata kibuti maridadi sanaa