Utani umenikosesha mpenzi

Utani umenikosesha mpenzi

roytmeller

Senior Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
109
Reaction score
18
Habari wanajamii,

Kama heading inavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 majuzi hapa nilikuwa na chat na mpenzi wangu WhatsApp ila katka maongezi yetu akaleta utani ambao mimi sikuwa naelewa kama ni utani tu kwasababu hakusema mwishoni kama alikuwa ananitania, basi na mimi nikaanza kumwambia kuwa hunivutii.

Kwanza huna shepu tukisema tukuvue nguo shepu yako ni ya kiazi, basi mi nikalala sasa asubuhi namcheki naona kimyaa ikanibidi nimpigie, alichonijibu ni hatari ndo maana nipo hapa, je nilifanya makosa kumtania vile au alikuwa ananitafutia kisa tuu? Na nifanyeje ili nirudiane nae?

Ushauri wenu please
 
Sasa mligombana huko, huku unakuja ili iweje?
Kama hataki mwache aende zake
 
Kaombe msamaha ila usiende mikono mitupu na macho makavu beba angalau vizawad vya kumshawishi akusamehe na hakikisha wakat unaomba msamaha angalau jitahidi kumwaga machoz akikuona unalia ninahakika ataingiwa na roho ya huruma na kuanza kubembeleza wanawake wana roho ya huruma atakusamehe
 
Kupenda uaipopenda ni sawa na kusubiri meri airport
 
Wanawake usimtanie kuhusu muonekano wao watakuchukia mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom