Utani umenigharimu, nipo njia panda

Utani umenigharimu, nipo njia panda

Kwa maswali kama haya..inawezekana huyo demu yuko sahihi kwa huo ukhanithi anaokushutumu nao..hivi baharia kama mm nawezaje kuja kuuliza swali la kipuuzi kama hili??kula mzigo..kula voda..kula tigo..halafu mwambie uko tayari kwa matangazo kwa ulichomfanya..
Tatzo wahuni kibao wanakula Mzee nisije kufa kizembe
 
Kama kuna kitu nakipenda hasa uswazi ni kutangazwa kwamba mimi ni hanidhi. Maana kila atakaekuja kuhakikisha, nalamba kitu. Halafu kimyaaa.
 
Mkuu watu sahivi tungekuwa tunasubiri kupewa njia zisizo rasmi..maana kote kungekuwa teyari

Kula mzigo,utakufa tuu mkuu
 
Mwenzio zoba sana
Dah kama hii Mimi pia imenikuta juzikati,nilienda mkoa flan kijijini huko basi nikafikia kwenye nyumba ya ndugu ambayo haitumii sababu anakaa town na kule ni kijijini ila ameajili mabinti wawili wakukaa pale ili waitunze nyumba.basi baada ya mishe za kutwa nzima za kile kilichonipeleka kule usiku nikaenda kulala,kuna binti mmoja mzuri nikamtania mgeni nalalaje peke yangu,akanijibu lala tu hamna tatzo mbona,nikamwambia huku ugenini bwana sijui kama usiku kuna wanga au vipi naogopa kulala peke yangu jamani,akacheka namm nikaingia chumbani,ile namaliza kutandika na kuweka neti nikasikia mlango umegongwa kufungua ni yeye,nikajua utani ushakuwa kweli,basi sikuwa na jinsi nikamkaribisha akaingia ktk neti nikazima taa nikala mzigo.
 
UHANITHI upo wa aina nyingi. Upo wa maumbile au wa akili, ama vyote kwa pa1.

Kuulizauliza maswali ya kipumbaf pumbaf hata kwa mambo madigomadogo kama hayo ni uhanithi wa akili na mwili.
Mtoririko mzima wa simulizi yako ni wa mwanaume hanithi dhahiri.

Eti kwanini akubali harakaharaka!
Je kama naye wewe ulikuwepo kichwani mwake akiwa anakushobokea na kukupigia mahesabu, kwanini ulazimishe akuzungushe?

Jambo la kufanya mapenzi voruntalily ni lako binafsi. Hauwezi kutoka nje ya mlango wa chumba chako na kuanza kuropoka hadharani kwa kushindwa ama kuweza kwako, kama ulivyofaha hapa jf.

Suala la kufuata condom kwa mpemba haliwezi kuchukua muda wa siku3 nzima kabla hauja exucute your lust. Ulikuwa unamtania, una utani naye tangia lini na kwa nini umtanie, kwa faida ya nani?

Kinga ndiyo nini? Unaelewa kujikinga wewe, au umeamua kumdhalilisha tu huyo dada kwa kukuonesha kwake ushirikiano usio hiyana?

Unajikinga nini ukivaa condom kiumeni ukauacha mdomo ukila denda la homa ya ini?
Upi ni ugonjwa hatari kuliko mwingine kati ya hayo kwa kulenga kwako condom tu?

Umeonesha mapungufu makubwa kwa mwanaume. Wacha tu huyo dada akutangaze udhaifu wako, maana hamna namna, hauwezi na haufai !
 
mkuu mkaushie tu akutangaze hanisi, then visichana kwa viherehere vitataka viprove uhanisi wako kama ni kweli hao ndo uwadinye ipasavyo ili wapeleke feedback
 
UHANITHI upo wa aina nyingi. Upo wa maumbile au wa akili, ama vyote kwa pa1.

Kuulizauliza maswali ya kipumbaf pumbaf hata kwa mambo madigomadogo kama hayo ni uhanithi wa akili na mwili.
Mtoririko mzima wa simulizi yako ni wa mwanaume hanithi dhahiri.

Eti kwanini akubali harakaharaka!
Je kama naye wewe ulikuwepo kichwani mwake akiwa anakushobokea na kukupigia mahesabu, kwanini ulazimishe akuzungushe?

Jambo la kufanya mapenzi voruntalily ni lako binafsi. Hauwezi kutoka nje ya mlango wa chumba chako na kuanza kuropoka hadharani kwa kushindwa ama kuweza kwako, kama ulivyofaha hapa jf.

Suala la kufuata condom kwa mpemba haliwezi kuchukua muda wa siku3 nzima kabla hauja exucute your lust. Ulikuwa unamtania, una utani naye tangia lini na kwa nini umtanie, kwa faida ya nani?

Kinga ndiyo nini? Unaelewa kujikinga wewe, au umeamua kumdhalilisha tu huyo dada kwa kukuonesha kwake ushirikiano usio hiyana?

Unajikinga nini ukivaa condom kiumeni ukauacha mdomo ukila denda la homa ya ini?
Upi ni ugonjwa hatari kuliko mwingine kati ya hayo kwa kulenga kwako condom tu?

Umeonesha mapungufu makubwa kwa mwanaume. Wacha tu huyo dada akutangaze udhaifu wako, maana hamna namna, hauwezi na haufai !
Mkuu Mimi nina Demu wangu ambae yupo chuo na nina uwezo wa kupiga mpaka gemu 10 bila kupumzika tatzo ni kujikinga na kuacha tamaa za mda zitakazokupelekea upoteze ndoto zako zote kifp huyu dem kicheche alafu ndom ataki
 
Mkuu Mimi nina Demu wangu ambae yupo chuo na nina uwezo wa kupiga mpaka gemu 10 bila kupumzika tatzo ni kujikinga na kuacha tamaa za mda zitakazokupelekea upoteze ndoto zako zote kifp huyu dem kicheche alafu ndom ataki
ni kwamba unakojoa kila sekunde au? hizo gemu kumi utakuwa mwanaume sample ya wale wa kinondoni
 
Kwani akikutangaza ni hanithi na unajijua ni rijali ,gudume gwa mbegu, utabadilika rangi ama?, mwambie atangaze tu afya muhimu. Pia uache mautani yani ya kijinga, wengine hawataniwi mkuu, au hizo tuhuma ni kweli (joke)
 
Ongeza Sauti Mkuu bado hawajakusikia! ...eti unasemaa?
Juzi kati nimeamka zangu asubuhi na mapema kutoka zangu nje nikamkuta Demu nyumba ya jirani anafagia uwanja full mauasafi ikanibid nimpe hai japo sikua na mazoea nae kabisa Nikamwambia"mambo' akanijib poa nikamtania "best sijalala usiku mzima yaani nina ukame balaaa "akacheka akaniambia kumbe na wewe ni muongeaji nikamwambia ndo hivyo yaani nina nyege za Dunia daa kwahiyo akaniuliza? nikamjibu nipe tiba nipate usingiz akacheka nikajua yameisha nikaingia zangu ndani nae akaenda ndani kwake ghafla baadae kidogo mara nikaaskia hodi heee kumbe kaja kweli mpaka chumbani ameshaoga safii daa akaniambia Sasa nimekuja kukupa huduma looo nikashangaa akaanza kunishika shika nikaduaa mara akavua nikaanza kujiuliza Nile au niache maana sikua na kinga alafu mbona kawa lahisi hv kikajiuliza maswali au ana Ngomaa huku naendelea na amelowa balaaa macho yake yamebadilika hana nguvu nikaona weee nisije kufa kizembe Nikamwambia Xxxx Mimi Sina kinga na wewe huna kinga tufanyeje akasema tufanye hivyo hivyo nikamwambia hapana Sasa ikiwa mmoja wetu anangoma si tutaathirika kizembe akasma mimi mzima mh nikafikiria nikamwambia bila kinga Mimi siwez kufanya huu mchezo"mala akawa mbogo yaani ushanichezea na kuniona mwili wote na umenipandisha nyege alafu uniache sikubali ,akataka kutumia nguvu nimle kilazima nikamsukuma nikatoka zangu nje. Basi alilia sana Baadae akatoka akaenda nyumbani kwake nikajua yameisha Kesho yake aliponiona Akaniambia atanitangaza Kwamba MM ni HANISI daaa na akanipa siku mbili aidha nimle au anitangaze mtaani daa Nilimplease sana akakataa akasema tena ataanza kunitangaza Kwa ndugu zangu Basi nikamwambia tukapime Ngoma akakataa tena akasema hata hiyo condom hataki anataka kavukavu.Nimejiuliza Sana kwanini hataki kinga wala kupima alafu Kuna masela tofauti totauti wanakuja pale kwake daa nimechanganyikiwa Nile au Nikubali Kashfaa Wadau naombeni Mnisaidie maana pale Mtaani kuna wamama tunaheshmiana nao sanaa maana hata Leo asubuhi wakati naenda zangu job akanikimbilia na kunambia eti Leo mwisho nichagulie kusuka au kunyoa kesho matangazo yaanza rasmi
 
Huyo ukimla tu ujue unaoa hata kama huna malengo naye for the future. Anaweza akakutegeshea hata mimba akakusumbua. Achilia mbali UKIMWI
 
Back
Top Bottom