Juzi kati nimeamka zangu asubuhi na mapema kutoka zangu nje nikamkuta Demu nyumba ya jirani anafagia uwanja full mauasafi ikanibid nimpe hai japo sikuwa na mazoea nae kabisa.
Nikamwambia"mambo' akanijibu poa nikamtania "best sijalala usiku mzima yaani nina ukame balaaa "akacheka akaniambia kumbe na wewe ni muongeaji! nikamwambia ndio hivyo yaani nina nyege za dunia daa kwa hiyo akaniuliza? Nikamjibu nipe tiba nipate usingizi... akacheka nikajua yameisha nikaingia zangu ndani nae akaenda ndani kwake.
Ghafla baadae kidogo mara nikasikia hodi heee kumbe kaja kweli mpaka chumbani ameshaoga safii daa akaniambia sasa nimekuja kukupa huduma looo nikashangaa akaanza kunishika shika nikaduaa mara akavua nikaanza kujiuliza nile au niache maana sikuwa na kinga hlafu mbona kawa lahisi hivi nikajiuliza maswali au ana ngomaa huku naendelea na amelowa balaaa macho yake yamebadilika hana nguvu nikaona weee nisije kufa kizembe.
Nikamwambia Xxxx Mimi Sina kinga na wewe huna kinga tufanyeje akasema tufanye hivyo hivyo nikamwambia hapana Sasa ikiwa mmoja wetu anangoma si tutaathirika kizembe akasema mimi mzima mh nikafikiria nikamwambia bila kinga Mimi siwezi kufanya huu mchezo"mara akawa mbogo yaani ushanichezea na kuniona mwili wote na umenipandisha nyege halafu uniache sikubali,akataka kutumia nguvu nimle kilazima nikamsukuma nikatoka zangu nje.
Basi alilia sana baadae akatoka akaenda nyumbani kwake nikajua yameisha kesho yake aliponiona akaniambia atanitangaza Kwamba mimi ni HANISI daaa na akanipa siku mbili aidha nimle au anitangaze mtaani.
Nilimplease sana akakataa akasema tena ataanza kunitangaza kwa ndugu zangu basi nikamwambia tukapime Ngoma akakataa tena akasema hata hiyo condom hataki anataka kavu kavu.
Nimejiuliza Sana kwanini hataki kinga wala kupima halafu kuna masela tofauti totauti wanakuja pale kwake daa nimechanganyikiwa nile au nikubali kashfaa.
Wadau naombeni mnisaidie maana pale mtaani kuna wamama tunaheshmiana nao sana maana hata leo asubuhi wakati naenda zangu job akanikimbilia na kunambia eti leo mwisho nichagulie kusuka au kunyoa kesho matangazo yaanza rasmi.
Nikamwambia"mambo' akanijibu poa nikamtania "best sijalala usiku mzima yaani nina ukame balaaa "akacheka akaniambia kumbe na wewe ni muongeaji! nikamwambia ndio hivyo yaani nina nyege za dunia daa kwa hiyo akaniuliza? Nikamjibu nipe tiba nipate usingizi... akacheka nikajua yameisha nikaingia zangu ndani nae akaenda ndani kwake.
Ghafla baadae kidogo mara nikasikia hodi heee kumbe kaja kweli mpaka chumbani ameshaoga safii daa akaniambia sasa nimekuja kukupa huduma looo nikashangaa akaanza kunishika shika nikaduaa mara akavua nikaanza kujiuliza nile au niache maana sikuwa na kinga hlafu mbona kawa lahisi hivi nikajiuliza maswali au ana ngomaa huku naendelea na amelowa balaaa macho yake yamebadilika hana nguvu nikaona weee nisije kufa kizembe.
Nikamwambia Xxxx Mimi Sina kinga na wewe huna kinga tufanyeje akasema tufanye hivyo hivyo nikamwambia hapana Sasa ikiwa mmoja wetu anangoma si tutaathirika kizembe akasema mimi mzima mh nikafikiria nikamwambia bila kinga Mimi siwezi kufanya huu mchezo"mara akawa mbogo yaani ushanichezea na kuniona mwili wote na umenipandisha nyege halafu uniache sikubali,akataka kutumia nguvu nimle kilazima nikamsukuma nikatoka zangu nje.
Basi alilia sana baadae akatoka akaenda nyumbani kwake nikajua yameisha kesho yake aliponiona akaniambia atanitangaza Kwamba mimi ni HANISI daaa na akanipa siku mbili aidha nimle au anitangaze mtaani.
Nilimplease sana akakataa akasema tena ataanza kunitangaza kwa ndugu zangu basi nikamwambia tukapime Ngoma akakataa tena akasema hata hiyo condom hataki anataka kavu kavu.
Nimejiuliza Sana kwanini hataki kinga wala kupima halafu kuna masela tofauti totauti wanakuja pale kwake daa nimechanganyikiwa nile au nikubali kashfaa.
Wadau naombeni mnisaidie maana pale mtaani kuna wamama tunaheshmiana nao sana maana hata leo asubuhi wakati naenda zangu job akanikimbilia na kunambia eti leo mwisho nichagulie kusuka au kunyoa kesho matangazo yaanza rasmi.