utani umenicost najuuta!!!

utani umenicost najuuta!!!

Kuhusu nauli dah! inabidi nifanye kama nilivyofanya mwaka 2007!!
 
Kuna Manzi mmoja alianzisha thread juzi Kati kuwa HATAMSAMEHE NA ATALIPA KISASI. Kusema ukweli hajataja kosa kabisa but it seems ni wewe na miongoni mwa mambo aliyoyasema ni kukumwagia tindikali. Hio thread IPO hapa jukwaani. Take care
 
Wenye kucha hawana ngozi, wenye ngozi hawana upele, wenye upele..:bored:.
 
mwanzoni nilijua utani ila dah!...kumtimizia ni ngumu maana sijawah kumcheat mchumba na sitarajii

sasa tunafanyaje hapo??? Eee
wew hutaki kumcheat mchumba fine sasa hapo cha kufanya wew mwelekeze vizur huyo bi dada tena vizur haswaaa hadi akuelewe kama atashindwa kukuelewa basi mpotezee mazima kwani nin ishu ni kumdelete ktk list yako ya marafiki kama kulipiwa nauli utapata mwingine ama nin
 
Kuna Manzi mmoja alianzisha thread juzi Kati kuwa HATAMSAMEHE NA ATALIPA KISASI. Kusema ukweli hajataja kosa kabisa but it seems ni wewe na miongoni mwa mambo aliyoyasema ni kukumwagia tindikali. Hio thread IPO hapa jukwaani. Take care

kama ndie naomba anisamehe si unajua 'uvulana'
 
sasa tunafanyaje hapo??? Eee
wew hutaki kumcheat mchumba fine sasa hapo cha kufanya wew mwelekeze vizur huyo bi dada tena vizur haswaaa hadi akuelewe kama atashindwa kukuelewa basi mpotezee mazima kwani nin ishu ni kumdelete ktk list yako ya marafiki kama kulipiwa nauli utapata mwingine ama nin

there you are!
 
Mwambie aje geto..manzese kwa mfuga mbwa..mkabala na kwa bibi nyau..akiona nyumba yenye antena na geti jeusi na pembeni kuna mama anauza maandazi..mwambie apite bila hata ya kugonga hodi...mwambie mimi SITANII..nipo SIRIAZ....please do me a fovour..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom