Utani mwingine hata haufaiiiiiiiiiii...........

Utani mwingine hata haufaiiiiiiiiiii...........

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,139
Sikilizaa maongezi haya katika simu

Girl: hellow
Boy: swty mambo vipi?
Girl: poa
Boy: utakua free weekend? Nilikua nataka uje nyumbani kwangu.
Girl: oh sorry, sitoweza kuja b'se kuna harusi ya aunty yangu na siku ya pili kutakua na wageni nyumbani
Boy: kama ni hivyo sawa just nilikuwa nataka nikufanyie suprise nimekunulia blackberry
Girl: oh usijali mpenzi wangu ntakuja, hata ukitaka nilale uko uko nitalala
Boy: vipi kuhusu harusi?
Girl: harusi ipi? Nlikua nkutania honey
Boy😱k Na mimi pia nilikua nakutania.

Unafikri maongezi yalikuwaje baada ya hapo?
 
Hiyo watoto wa mjini wanasema ngoma droo
 
Ayaa angemkandamiza kwanza ndo angempa kubwa hapo lazima angezima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom