First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
Waarabu pia wana mila zao za Kiarabu ambazo ni za kijinga.
Mila njema ni zile ambazo hazina mipaka ya kabila, rangi wala tabaka. Mila za Kiislam.
Nadhani we FaizaFoxy umepata majibu... Hakuna mtu mweusi alie mwislamu wala mkristo wa asili... Mapokeo ya kikoloni ndo yanayowafanya watu kutojielewa...
I hope kama sio kuzaliwa kwenye uislamu wala usingekuwa na neno kutetea imani za watu.. Pole
Hizo mila za kiislamu zinaingilianaje na ww mweusi? au ndo mambo ya utumwa wa fikra
Last edited by a moderator: