Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,277
- Thread starter
- #81
*Wanafunzi walipanda kwenye ndege ,muda mfupi kabla ya kuruka wakatangaziwa kuwa ndege hii ni ya kwanza kutengenezwa na mainjinia wa Tanzania na hii ndio safari yake ya kwanza, wanafunzi wote wakashuka akabaki mmoja tu , alipoulizwa kwanini hakushuka " Akajibu kama imeundwa na wa Tanzania wala sina wasi wasi hata kuwaka haitawaka hii*
Sependagi ujinga eti
Sependagi ujinga eti