Utamwambia nini Rais JK?

2gether we can make it, Rais obama alionambali, ila Maisha bora kwa kila mtanzania ni ki2 ambacho ni kama ndoto za alinacha that means 2 satisfy every one soul ni ngumu kuliko ulivyofikiri naona umeamua kukidhi matakwa ya familia yako na familia za ndugu na rafiki zako, kaka wapishe wenzako nchi imekushinda hi!
 
nitampa njia ya kukwepa aibu, nitamwambia aanguke na this time asihamke mapema, watampeleka hospital na madokta watasema apumzike, tutafanya uchaguzi mwingine.
 
Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??

Nitamkumbushia ile ahadi ya wakati wa kampeni ya underground metro train/subway ya Dar inaanza lini manake foleni zimezidi. Mie nataka ku-park gari yangu kituo cha train pale Mwenge halafu niingie kwenye train niende zangu downtown/Posta mpya. Jioni nichukue trin hadi Mwenge then niwashe mchuma kurudi zangu Bagamoyo
 
Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??

Nitamwambia ahamishie ikulu angani ili iwe rahisi 'kuwatumia' aa sorry, kuwatumikia wadanganyika!
 
Nitamkumbushia ile ahadi ya wakati wa kampeni ya underground metro train/subway ya Dar inaanza lini manake foleni zimezidi. Mie nataka ku-park gari yangu kituo cha train pale Mwenge halafu niingie kwenye train niende zangu downtown/Posta mpya. Jioni nichukue trin hadi Mwenge then niwashe mchuma kurudi zangu Bagamoyo
<br />
<br />
atakwambia hyo ni plan. Subir implementation when the time is right.
 
mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na rais jakaya kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya umma wa tanzania??
nasikitika kua hakuna cha kumwambia kwa sababu zifuatazo:ili mtu ashauriwe inapashwa kua na sifa ya kutathimini ya kupokea ushauri sifa hizo hana!swala hili nalifananisha swali ya kua ukipewa dk 2 kukutana na kiziwi utamnong'oneza nini!!?
 
Tanzania ina mabilionea wengi . Acha kwenda kuomba omba washauri hawa mabillionea warudishe kiasi kwa jamii na Tanzania ya kufikilika utaipata.
hawa mabilionea kwa bahati mbaya sana ni wahindi na waarabu. Hawa wana kazi maalum-kukisaidia chama na kuwalinda viongozi wachache walio madarakani. Hawatufai kwa lolote
 
Mwana fikra pevu!! Assume umepata nafasi ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete faragha na umepewa dakika mbili tu za kuongea nae. Ni kitu gani utapenda kumwambia kwa maslahi ya Umma wa Tanzania??
<br />
<br />
Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule
amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye
mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni
mwake amemwacha Bwana.
 
Nitamwambia he has nothing to lose now that kashachaguliwa so awashughulikie kiaina mafisadi wote including yeye mwenyewe na viongozi wa dini waliopotoka ( kama ana ushahidi ) amwajibishe Feleshi, na bosi wa TAKUKURU na lundo kibao and rid us of thse selfish men
 
Shikamoo Mh. Kaka Rais, samahani kama nitakuudhi lakini ndio ukweli wenyewe NCHI IMEKUSHINDA NAKUTAKA UJIUZULU!
 
ningemwambia watu wanakutania hivi mkuu wa nchi " palitokea mkutano wa madaktari bingwa dunianikutoka nchi tatu,China, Ugerumani na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikia yaliyofanywa na ktk nchi zao. Mchina akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mikono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate. Mjerumani... hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu. Mtanzania......., akacheka akasema kwenu bado hamjafikia kiwango rekodi yetu, sisi hapa bagamoyo alizaliwa mtot hana kichwa tukamwekea Nazi na sasa ni RAISI"[/QUOTE]

Nasisitiza tu, na tena nazi wenyewe ilikuwa koroma
 
Back
Top Bottom