hakuna raha kubwa km pale unapojua unapendwa, upendo n kitu ambacho kimebeba sehemu kubwa ktk maisha yetu .
Upendo ulio wa dhati ni lazima utagharimu kwa yule anayependa, utagharimu vingi kama muda, pesa na zaidi pia kuna wakati upendo hugharimu maisha. yatupasa sote tupendane na kuhurumiana, ili maana halisi ya upendo ionekane na kuwepo katikati yetu, tuwazian mema na ya kweli kutoka mioyoni ili tuishi kwa furaha na amani
Upendo ulio wa dhati ni lazima utagharimu kwa yule anayependa, utagharimu vingi kama muda, pesa na zaidi pia kuna wakati upendo hugharimu maisha. yatupasa sote tupendane na kuhurumiana, ili maana halisi ya upendo ionekane na kuwepo katikati yetu, tuwazian mema na ya kweli kutoka mioyoni ili tuishi kwa furaha na amani