GIUSEPPE JF-Expert Member Dec 31, 2011 5,239 6,196 Sep 10, 2012 #2 mbona sasa mi sioni nyama naona maandalizi tu
S Synthesizer JF-Expert Member Feb 15, 2010 11,143 18,774 Sep 10, 2012 #3 Do, nilisoma vibaya nikafikiri "utamu wa nyama ni maandazi", ikabidi nivute miwani ya kusomea! Pia Mkuu, tunasema maandalizi, sio mandalizi.
Do, nilisoma vibaya nikafikiri "utamu wa nyama ni maandazi", ikabidi nivute miwani ya kusomea! Pia Mkuu, tunasema maandalizi, sio mandalizi.