HahahahahahahaNitamuuliza nini tatizo?
Jamani, mambo ni mengi mda hautoshi,nipo ndani kwa hisani ya corona.😂😂😂😂Mbona na wewe umebinua kalio na kuacha chuchu nje?
Nakusalimu tu mimi apa. Time ago no see you.Kutongozwa siyo kosa langu maana sijamwambia mtu anitongoze. Cha muhimu ni kusema HAPANA, I'M MARRIED n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo ndani wengi baba kiasi kila mda ni kushika simu na jf.Jamani, mambo ni mengi mda hautoshi,nipo ndani kwa hisani ya corona.😂😂😂😂
Kabisa, ni kuangalia tu tv. hadi macho yaume.Tupo ndani wengi baba kiasi kila mda ni kushika simu na jf.
Hadi Corona ipite thread zote za jf nitakuwa nishazisoma 😂😂😂
Mkuu Mtoto wa Baba, ungetuwekea picha yote kuliko kutuonesha meno tu [emoji16]Kutongozwa siyo kosa langu maana sijamwambia mtu anitongoze. Cha muhimu ni kusema HAPANA, I'M MARRIED n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Kutuonyesha vichuchu...Hakuna raha kama mwanamke kujisitiri. Kujiheshimu na kujali ndoa yako. Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bidada kaolewa lakini simu yake haiishi meseji za wasap anatongozwa na midume. Muda wote anachati facebook na kupost status watsap amebinua makalio. Lol. Muda na mumewe hana. Yeye na wasap, wasap na yeye. Anajirahisisha mitandaoni.
Ndoa ni kujisitiri na kumsitiri mumeo. Penzi ni la wawili na libaki kuwa hivyo siku zote. Majuto mjukuu.
KweliUtamu wa ndoa ni wanandoa wote wawili kila mtu kujua wajibu wake na kutimiza wajibu kwa mwenza wake na familia yake kwa ujumla.Wewe jistiri,itunze ndoa yako ,jiheshimu lakini kama upande wa Pili haujitambui,bado ndoa yako itakua chungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzangu wajuzi zaidi hebu nijulisheni hapo ni saa ngapi hizo chuchu1. Kutuonyesha vichuchu...
2. Kalio limebinjuliwa...
Kwenye ndoa YAMERUHUSIWA?
#YNWAView attachment 1398197
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hiyo DP ni wewe kweli, basi nataka ujue nakuhitaji sana.Hakuna raha kama mwanamke kujisitiri. Kujiheshimu na kujali ndoa yako. Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bidada kaolewa lakini simu yake haiishi meseji za wasap anatongozwa na midume. Muda wote anachati facebook na kupost status watsap amebinua makalio. Lol. Muda na mumewe hana. Yeye na wasap, wasap na yeye. Anajirahisisha mitandaoni.
Ndoa ni kujisitiri na kumsitiri mumeo. Penzi ni la wawili na libaki kuwa hivyo siku zote. Majuto mjukuu.
Nakusalim pia rafikiNakusalimu tu mimi apa. Time ago no see you.
Humu kila mtu anaweka avatar anayojisikia mkuu. Mimi nimeweka meno yangu, inatosha.Mkuu Mtoto wa Baba, ungetuwekea picha yote kuliko kutuonesha meno tu [emoji16]
Hongera Dada Leti, nakupenda..Hakuna raha kama mwanamke kujisitiri. Kujiheshimu na kujali ndoa yako. Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bidada kaolewa lakini simu yake haiishi meseji za wasap anatongozwa na midume. Muda wote anachati facebook na kupost status watsap amebinua makalio. Lol. Muda na mumewe hana. Yeye na wasap, wasap na yeye. Anajirahisisha mitandaoni.
Ndoa ni kujisitiri na kumsitiri mumeo. Penzi ni la wawili na libaki kuwa hivyo siku zote. Majuto mjukuu.
Nipo ila hujanitafuta tu.
Mko wachache sana, hongera kwa kujitambua bidada.Hakuna raha kama mwanamke kujisitiri. Kujiheshimu na kujali ndoa yako. Mwanamke mpumbavu huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bidada kaolewa lakini simu yake haiishi meseji za wasap anatongozwa na midume. Muda wote anachati facebook na kupost status watsap amebinua makalio. Lol. Muda na mumewe hana. Yeye na wasap, wasap na yeye. Anajirahisisha mitandaoni.
Ndoa ni kujisitiri na kumsitiri mumeo. Penzi ni la wawili na libaki kuwa hivyo siku zote. Majuto mjukuu.