Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

Utamu wa Mke wa Mtu ni balaa

happiness win

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,461
Reaction score
1,394
Usiombe hili likukute ... acha kutembea na wake za watu.
AIBUBOSI1.jpg AIBUBOSI2.jpg AIBUBOSI3.JPG AIBUBOSI5.jpg AIBUBOSI4.jpg
 
Aibu ya kujitakia, kuna wanaume huwa wanona sifa kutembea na wake za watu tena hukaa na kujisifia siiku yakiwakuta kama ya huyo jamaa ndio watakoma.
 
Kuna ule mziki wanaiba 'mke wa mtu nisumu usijaribu chombeza'....... sasa jamaa kajaribu kuchombeza yamemkuta yaliomkuta hapo hata pole simpi ng'oo!!!
 
Kuna ule mziki wanaiba 'mke wa mtu nisumu usijaribu chombeza'....... sasa jamaa kajaribu kuchombeza yamemkuta yaliomkuta hapo hata pole simpi ng'oo!!!


Lakini pia wapo wanaodai mke wa mtu mtamuuuuuuu tena hana gharama wala usumbufu
 
Unaweza kuhama mji aisee. Mwenye mke hakuwa mangi lasivyo jamaa angekuwa marehemu sasa.
 
lakini kuna cha kujiuliza upande wa pili wa shillingi!!mfano akijiuliza tu "hivi mke wangu alirazimishwa?"-muda mwingine ni viherehere vyao na udhaifu wa mume wake!!
 
Back
Top Bottom