Utamtambuaje mwanamke aliekeketwa?

Utamtambuaje mwanamke aliekeketwa?

yenyewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
621
Reaction score
94
Habari wadau?
Binafsi nimekutana na wanawake wenye maumbile tofauti kule kwenye sehem zao kuu. Naomba tusaidiane wadau maana nashindwa kuelewa kama mwanamke akikeketwa huwa maumbile ya nanii yake huwa yanabadilika. Inaezekana nina mkos wa kukutana na wanawake waliokeketwa.

NB. Naomba usinitukane!
 
Looohh! Muanzisha mada kweli wewe wa kishimundu. Wagogo, wamasahi na makabila mengi kule wanangoa kabisa. Wanabaki vibututu. Ila wapare na makabila mengi kama wanapiga panki tu, antena inakuwepo ndogo.
 
Hata mimi naomba kujua kama wasukuma wanakatwa au la! maana hivyo visimi vyao ni vifupi n ni vya kupapasa kweli hadi uje ukibahatishe inakuwa kazi sana.

Habari wadau?
Binafsi nimekutana na wanawake wenye maumbile tofauti kule kwenye sehem zao kuu. Naomba tusaidiane wadau maana nashindwa kuelewa kama mwanamke akikeketwa huwa maumbile ya nanii yake huwa yanabadilika. Inaezekana nina mkos wa kukutana na wanawake waliokeketwa.

NB. Naomba usinitukane!
 
Ahahahaaa..hujakutana nae tuu. Omba mungu ukutane nae cku moja.
 
Back
Top Bottom