Utamtambuaje mwanamke aliekeketwa?

Utamtambuaje mwanamke aliekeketwa?

Habari wadau?
Binafsi nimekutana na wanawake wenye maumbile tofauti kule kwenye sehem zao kuu. Naomba tusaidiane wadau maana nashindwa kuelewa kama mwanamke akikeketwa huwa maumbile ya nanii yake huwa yanabadilika. Inaezekana nina mkos wa kukutana na wanawake waliokeketwa.

NB. Naomba usinitukane!
easy mpe bia ktk glass akinywa mpaka mapovu ujue tayari
 
taitizo una deal na vikongwe chukua vijana huwezi ukakutana na vitu km hvyo marakwa mara ila ngono sio kitu poa BAKI NJIA KUU NDUGU MCHEPUKO NI NOUMAH
 
Habari wadau?
Binafsi nimekutana na wanawake wenye maumbile tofauti kule kwenye sehem zao kuu. Naomba tusaidiane wadau maana nashindwa kuelewa kama mwanamke akikeketwa huwa maumbile ya nanii yake huwa yanabadilika. Inaezekana nina mkos wa kukutana na wanawake waliokeketwa.

NB. Naomba usinitukane!

we endelea kujaribu tuu siku ya siku utakufa na kilo mbili
 
Sidhani kama wakelewe wanakewetwa wao wanavuta visimi vinakuwa virefu, hata wazinza wanafanya hivyo.

Wakerewe wanakeketwa, hawa waliletwa na Nyerere kutoka mkoani mara, kuhusu exlusion za wilaya ni maeneo ambayo yapo pembezoni mwa mikoa inayoendekeza ukeketaji! Pia kwa wilaya za mikoa kama Tabora ni maeneo ya ambayo walikaa sana waarabu hivyo wamerithishwa tabia za umwinyi +wivu wa kuachwa na wakezao.
Ikumbukwe kuwa ukeketaji utaendelea kuwepo milele ktk baadhi ya mikoa coz they tend to believe eti waliokeketwa hutulizana!
 
bIAFSI SIJAWAHI KUKUTANA NA MWANAMKE ASIYEKUWA NA MEMORY CARD NA SITAKI KABISA.
 
Wasukuma hawakeketwi wala kutaili siyo asili yao. wazee kibao wa usukumani wana mikono ya sweta. Kwa kumsaidia tu mleta maada: Mikoa wanayokeketa ni, mara,singida,arusha,manyara,dodoma,tanga,knjaro,dar,moro,ruvuma,mtwara na lindi kiasi.
Mikoa wasiyo keketa ni mwanza(exclude ukerewe),shinyanga ndo hawakati kabisa pote, tabora(exclude uyui,tabora mjini,skonge), iringa hawakati kabisa, njombe(exclude maeneo ya madaba) mbeya yote, rukwa, kigoma(exclude ujiji, kibirizi) kagera yote. Ndo hayo tu!

Acha uongo kuna tofauti kati ya kukeketa na jando na unyago mikoa ya kusini Mbeya Iringa Ruvuma Lindi na Mtwara hakuna mila za kukeketa wana unyago ambao wanafundisha mambo ya kutunza wanaume.
 
Back
Top Bottom