lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,593
- 5,203
Hongereni sana wa mama wa zaman mlikuwa na mbinu sana mkitaka kupata haki yenu ya ndoa utasikia haya kachezeni baba anapumzika hataki kelele.
Hapo sasa mdogo kama hataki kuondoka utasikia fulan wewe ndio mkubwa hapo haya mchukue mdogo wako mkacheze wote ,yaan mama huwa anawabembeleza watoto wakacheze.
Hapo sasa mdogo kama hataki kuondoka utasikia fulan wewe ndio mkubwa hapo haya mchukue mdogo wako mkacheze wote ,yaan mama huwa anawabembeleza watoto wakacheze.