Utamshtuaje mtu aliyesahau kufunga zipu?

Utamshtuaje mtu aliyesahau kufunga zipu?

mimi niliwahi kumfata madame alikuwa anafundisha (chuo) kasahau kufunga kifungo cha blauzi nikaenda na karatasi flani hivi nikajifanya namuomba anielekeze kitu kijanja nikampa ujumbe wake
 
mimi niliwahi kumfata madame alikuwa anafundisha (chuo) kasahau kufunga kifungo cha blauzi nikaenda na karatasi flani hivi nikajifanya namuomba anielekeze kitu kijanja nikampa ujumbe wake

Sasa blauzi hapo si unakuta labda alikuwa na nia yake ya kutega,si unajua wanawake wengine wanafanya makusudi
 
je mama mkwe anapo kaa mbele yako afu akakaa vibaya utamwambia?chukulia mazingira kuna jambo la muhimu anakwambia au mnaongea utafanyaje...?
 
Back
Top Bottom