Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
- Thread starter
- #41
Aisee mwanamke anapokaa vibaya lazima anakutega,hawezi kujiachia hivo,sijawahi kuona mwanamke kaka vibaya,akikaa vibaya lazima kuna lakeje mama mkwe anapo kaa mbele yako afu akakaa vibaya utamwambia?chukulia mazingira kuna jambo la muhimu anakwambia au mnaongea utafanyaje...?