GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
take care, watamegwa sana kwa sababu watakua ni wauza sura kwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaKumbe na wewe ni inji? sikujuaga hili!
Kwa maelezo yako wanangu kamwe hawatasoma Engineering.Itabidi wawe Mamodo.
take care, watamegwa sana kwa sababu watakua ni wauza sura kwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaKumbe na wewe ni inji? sikujuaga hili!
Kwa maelezo yako wanangu kamwe hawatasoma Engineering.Itabidi wawe Mamodo.
heeeeeeeeeeee! tena!??? sasa jamani wasomee nini?take care, watamegwa sana kwa sababu watakua ni wauza sura kwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaa
hahahaaa, watchout wasije kua wabishi na viburi kwa serikali kwenye ishu za maslahi ya taifa kama umeme, hapa namzungumzia KAKOBE!.heeeeeeeeeeee! tena!??? sasa jamani wasomee nini?
ok, watakuwa wahubiri wakubwa ,mitume na manabii.Hapa nadhani panafaa.
wanao wasomeshe FASS huko(wakiwa wa-kike)Kumbe na wewe ni inji? sikujuaga hili!
Kwa maelezo yako wanangu kamwe hawatasoma Engineering.Itabidi wawe Mamodo.
Nahisi kama hamjamjibu swali lake. Yeye amesema mwanamke,hakuzungumzia mpenzi. There are so many women and men that we admire and like in our life, not necessarily wapenzi! i stand to be corrected, maana akiwa na mapesa na hana mapenzi hata kidogo kwako itakuwa bussiness relationship!!Kwangu mm, ni lazima mwanamke awe na hivi au mchanganyiko wake au kimojawapo
1) Awe smart - intelligent
2) Awe mzuri (kwa maana ya beholder)
3) Awe na pesa
kama hana hata kiojawapo kwangu hana nafasi!! Geof mshiki najua amepita kwenye vigezo hivyo!!
haya, na ww jibu basi!! halafu elezea mapenzi ni nini, mapenzi kidogo na mapenzi mengi ni yapiNahisi kama hamjamjibu swali lake. Yeye amesema mwanamke,hakuzungumzia mpenzi. There are so many women and men that we admire and like in our life, not necessarily wapenzi! i stand to be corrected, maana akiwa na mapesa na hana mapenzi hata kidogo kwako itakuwa bussiness relationship!!
do i smell nyamayao here? mmmh kweli alisuggest hiyo name kafikiria maana limekubalika kabisa?nimefurahi kukuona dearest......
nakuchagulia...MERCY..LOVENESS..FAITH..pendekeza hapo dear.
ukiwa pale udsm,
dem akiwa COET vidume wanajiuliza mara mbili mbili kumaproach
dem anatembea na scientific calculator masaa 24
nilidhani unaongelea vigezo vya mwanamke! Labda cha kwanza awe na jinsi ya kike!?haya, na ww jibu basi!! halafu elezea mapenzi ni nini, mapenzi kidogo na mapenzi mengi ni yapi
hehehehe!Hahahahahahah! We Geoff naona leo umeamua kutuchekesha humu.
bora!kwa hiyo kale ka-binti ka xpin kasomee uchumi wa nyumbani na Lishe? (Home Economics and Nutrition)
kwa hiyo kale ka-binti ka xpin kasomee uchumi wa nyumbani na Lishe? (Home Economics and Nutrition)
uko sahihi mkuu!,hehehehe!
mkuu sikutanii kabisa
ukiwa na dem wa COET hayo ma-bash utayasikia bombani,au mkienda bash anaenda na summary za MECHANICS OF MATERIALS
leo foleni ya gest si n'chezoHe! Hivi nilikuwa wapi? Huu uzi umekimbia kwa kasi sana! Mi ka kwangu bana kasomee yale mambo wanasemaga ya hoteli menejimenti! Si yanahusiana na kuchoma mdudu na kufungua vizibo? Au kutandika mashuka?
uko sahihi mkuu!,
mai waifu aliniambia aliwai kwenda disko two times only in the 4 years she spent there!!, tena hiyo mara ya mwisho alikua anaona muda hauendi kabisaaaa!, akili yote ilikua kwenye Dynamics of Structures na Numerical Methods in Structural Engineering
leo foleni ya gest si n'chezo
sasa hivi vitu kwa mwanaume SAWA!I am not an engineer! But Engineering, especially structural engineering seems to be an interesting discipline to me. Napenda sana kuangalia documentaries kwenye National Geographic Channel. Programs kama, Seconds from Disaster, Mega Structures na Big, Bigger, Biggest huwa vinanifurahisha sana!