Utamrudia Ex-wako ama bora kufa?!

Utamrudia Ex-wako ama bora kufa?!

Sema sema tujue wote alikuaje huyo jamaa
Alikuwa mchafu anavaa jezi siku 3 suruali 1 wiki, 😁😁 alafu kule kwenye sita kwa sita anapiga kelele sana hadi anaboa alafu ana mkono wa kupiga, wivu ila kwenye kujali ubahili ni mwingi
 
Alikuwa mchafu anavaa jezi siku 3 suruali 1 wiki, alafu kule kwenye sita kwa sita anapiga kelele sana hadi anaboa alafu ana mkono wa kupiga, wivu ila kwenye kujali ubahili ni mwingi
Hahaha ngoja aje asome mashtaka yako
 
Alikuwa mchafu anavaa jezi siku 3 suruali 1 wiki, 😁😁 alafu kule kwenye sita kwa sita anapiga kelele sana hadi anaboa alafu ana mkono wa kupiga, wivu ila kwenye kujali ubahili ni mwingi
Ahahaha daaah ukashindwa kuvumilia kweli mbona wadada jau sana nyie aiseeee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Kibuyu naye huyo anayelilia vitu vilivyo expire..!! 😹
Out of what we were talking, ila humu mwanangu ukisema tu mimi ni Mganga, unaweza kupiga hela za vibuyu wengi sana. Kuna comment niliwahi kuzitoa sehemu humu kuhusu waganga, vibuyu wananisumbua sana DM😂😂
 
Out of what we were talking, ila humu mwanangu ukisema tu mimi ni Mganga, unaweza kupiga hela za vibuyu wengi sana. Kuna comment niliwahi kuzitoa sehemu humu kuhusu waganga, vibuyu wananisumbua sana DM😂😂
Walie pesa vibuyu hao..!! 😹
Wajinga hawajawahi kuisha mdogo wangu hata wakipelekwa VETA 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom