Nahisi wengine sijui tuna matatizo!! Ex's wangu wengi tumebaki washikaji. Imagine ex mnakopeshana pesa,mnachangiana michango mbalimbali,mkikutana sehemu mnapiga stori fresh kama hakijatokea kitu. Mnatambulishana hadi mke/mme.
Inategemeana na aina ya mahusiano mliyokuwa nao. Most of my ex's tunakuwa na mahusiano fulani ya kushibana kiaisi kwamba hata ikitokea hali ya ku_break up,basi tunajadiliana kirafiki na kwa uwazi zaidi.
Achana na hawa kunguru wa kamata Chinja ukiwa viwanja,wenyewe mnakuwa washikaji kiasi kwamba hata kesho ukimkuta na bwana mwingine,unazuga tu kama hakijatokea kitu.