Utamrudia Ex-wako ama bora kufa?!

Utamrudia Ex-wako ama bora kufa?!

Mimi watu niliokuwa nao kimapenzi huwa siwaiti maex mkuu kwa sababu ninapokutana nao popote huwa najamiiana nao bila shida.
 
Kama unaweza kuwa na mtu ambae utakubali ufe kuliko urudiane nae kuna asilimia nyingi za wewe pia kuendana ubaya na huyo mtu tunachaguaga watu tunaoendana nao kwa kias fulani hasa tabia
 
Mimi sina baya nae japo tulipelekanaga hadi dawati la jinsia alinibambika mtoto, na juzi tu hapa kanitafuta nimkande nao.
 
Niwakumbushe tu Wanaume wenzangu


Ukipata mpenzi anaefanya kazi ya House Keeping, usiwe na malengo nae au achana nae kabisaaa! Hiyo ni public figa
 
Niwakumbushe tu Wanaume wenzangu


Ukipata mpenzi anaefanya kazi ya House Keeping, usiwe na malengo nae au achana nae kabisaaa! Hiyo ni public figa
Kiufupi ukiona beki tatu ujue anampa pasi straika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom