Habari za wakati huu wanajukwaa wenzangu,
Naomba nitumie fursa hii kujitambulisha rasmi.
Naitwa Joseph Lucas Mkumbo, nina umri wa miaka 38 na ninatokea Utemini, mkoani Singida. Kwa sasa ninahudumu kama Manager Director wa kampuni ya Africa Sites Mineral, iliyopo Ikungi – Mang’onyi, mkoani Singida.
Kampuni yetu inajishughulisha na shughuli mbalimbali katika sekta ya madini, ikiwemo:
Uchimbaji wa madini ya aina zote,
Upimaji na tathmini ya maeneo ya madini (site analysis),
Na huduma za kitaalamu za kijiolojia (geological services & analysis) kwa mujibu wa viwango vya kitaalamu na kimataifa.
Mbali na shughuli hizo, pia ni Mwenyekiti wa UVCCM Utemini – Mkoa wa Singida, nikiwa pia mwanasiasa mkomavu mwenye dhamira ya kweli ya kulitumikia taifa na kuliletea maendeleo kupitia ushirikiano wa kijamii, kisiasa na kiuchumi.
Nimejiunga na JamiiForums kwa lengo la kujifunza, kuchangia mijadala yenye tija, na kushirikiana na wanajukwaa katika kuibua hoja na suluhisho kwa changamoto zinazotukabili kama jamii.
Najivunia kuwa sehemu ya “Great Thinkers”.
Karibuni kwa maoni, ushauri, na ushirikiano wa aina yoyote.
Asanteni sana.
Naomba nitumie fursa hii kujitambulisha rasmi.
Naitwa Joseph Lucas Mkumbo, nina umri wa miaka 38 na ninatokea Utemini, mkoani Singida. Kwa sasa ninahudumu kama Manager Director wa kampuni ya Africa Sites Mineral, iliyopo Ikungi – Mang’onyi, mkoani Singida.
Kampuni yetu inajishughulisha na shughuli mbalimbali katika sekta ya madini, ikiwemo:
Uchimbaji wa madini ya aina zote,
Upimaji na tathmini ya maeneo ya madini (site analysis),
Na huduma za kitaalamu za kijiolojia (geological services & analysis) kwa mujibu wa viwango vya kitaalamu na kimataifa.
Mbali na shughuli hizo, pia ni Mwenyekiti wa UVCCM Utemini – Mkoa wa Singida, nikiwa pia mwanasiasa mkomavu mwenye dhamira ya kweli ya kulitumikia taifa na kuliletea maendeleo kupitia ushirikiano wa kijamii, kisiasa na kiuchumi.
Nimejiunga na JamiiForums kwa lengo la kujifunza, kuchangia mijadala yenye tija, na kushirikiana na wanajukwaa katika kuibua hoja na suluhisho kwa changamoto zinazotukabili kama jamii.
Najivunia kuwa sehemu ya “Great Thinkers”.
Karibuni kwa maoni, ushauri, na ushirikiano wa aina yoyote.
Asanteni sana.