The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,247
Huyo mama ake kanumba inaonekana alikuwa mcharuko wa hatari! Inawezekanaje kila mtoto akawa na baba yake kivyake?
Nway,kwa sisi wakurya angezikwa TARIME/SERENGETI/BUNDA. Na si either kwa mama(BK) au kwa wasanii(DAR) regardless baba kamlea or not!!!
RIP KANUMBA 'THE GREAT',umetangulia,sisi tupo nyuma yako!
Nway,kwa sisi wakurya angezikwa TARIME/SERENGETI/BUNDA. Na si either kwa mama(BK) au kwa wasanii(DAR) regardless baba kamlea or not!!!
RIP KANUMBA 'THE GREAT',umetangulia,sisi tupo nyuma yako!