Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mdada usikatae ndo ukweli wenyewe! hamtulii kwenye ndoa zenu! mm binafsi nimeamua kutooa uko! mifano mingi ninayo! na ukiwa umesoma ndo usiseme, ukikaa ndani ya ndoa kwa miaka 2 ni bahati! hasa wale wanaotoka mreba, kamachumu na kiziba!
Iwe Kamugisha,wanywa gaha? Embandule? Mbona unatukana kwenu?