Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Huyu mwanamke anaishi maeneo ya Ghana jijini Mwanza.Inaelezwa miezi 6 iliyopita wakati wanaume wanamchumbia alikuwa anawaambia kuwa;"kama huna maumbile makubwa usipoteze muda wako" bahati nzuri akampata mwenye alichohitaji.Sasa Anasema ndoa imemshinda ukubwa ule wa maumbile unamkera na pia jamaa anapiga gemu mara 4 kwa siku,dada anadai uvumilivu umemshinda.Dada zangu kuweni makini na haya mambo haya ya oooh kibamia hakina stim,sijui nini shauri yenu!Huyu sasa anakitamani kibamia na hakipati!Kuweni makini!