nakujuzatz20122
New Member
- May 11, 2018
- 2
- 3
Mpaka yakae sawa tutaumia vya kutoshaMambo yatakaa sawa tuh
Mkuu siku hizi tunaishi kwa Imani tu ! We are in ze laiti traki! Uchumi imara,dawa zipo,Kakorona'' tumekashinda,Serikali imekamilisha ujenzi wa mji wa Serikali Mtumba...!Mnataka Nini Tena!?Mbona yule baba alitutangazia kwamba tayari tunao wageni wengi maradufu, na kwamba hiyo secta imerudi kwenye mstari ulio nyooka kama ruler...
Ingawa kilicho nistu jana kule tuita ni, ile tuiti ya huzuni na kukata tamaa kwa huyu waziri kijana aliye pewa dhamana wa sekita hiyo.
Mambo yatakaa sawa tuh
Mbona mapovu asubuhi yote hii!!?bado kuna mataahira yalikuwa yanombea lockdown.yaani unapoteza ajira yako baada ya wageni kuacha kuja halafu unaenda kulala ndani bila malipo.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Huyu ni moja ya matanga mkuu, si unajua akili huwa wanaziacha wapiMbona mapovu asubuhi yote hii!!?
Huyu ni moja ya matanga mkuu, si unajua akili huwa wanaziacha wapi
nyumbu club.Mbona mapovu asubuhi yote hii!!?
Nani kakudanganyaSi leo wala kesho