Utalii Ajira zazidi kupotea tuwaombe wenzetu-Arusha

nakujuzatz20122

New Member
May 11, 2018
2
3
Hali si swari kwa wenzetu
Screenshot_20200606-232237~2.png
Screenshot_20200606-232319~2.png
 

Attachments

  • Updated - KDT Notice of Intention to Retrench.pdf
    1.1 MB · Views: 12
Mbona yule baba alitutangazia kwamba tayari tunao wageni wengi maradufu, na kwamba hiyo secta imerudi kwenye mstari ulio nyooka kama ruler...
Ingawa kilicho nistue jana kule tuita ni, ile tuiti ya huzuni na kukata tamaa kwa huyu waziri kijana aliye pewa dhamana wa sekta hiyo.
 
Mbona yule baba alitutangazia kwamba tayari tunao wageni wengi maradufu, na kwamba hiyo secta imerudi kwenye mstari ulio nyooka kama ruler...
Ingawa kilicho nistu jana kule tuita ni, ile tuiti ya huzuni na kukata tamaa kwa huyu waziri kijana aliye pewa dhamana wa sekita hiyo.
Mkuu siku hizi tunaishi kwa Imani tu ! We are in ze laiti traki! Uchumi imara,dawa zipo,Kakorona'' tumekashinda,Serikali imekamilisha ujenzi wa mji wa Serikali Mtumba...!Mnataka Nini Tena!?
 
bado kuna mataahira yalikuwa yanombea lockdown.yaani unapoteza ajira yako baada ya wageni kuacha kuja halafu unaenda kulala ndani bila malipo.

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom