Elia JF-Expert Member Dec 30, 2009 3,425 567 Dec 18, 2013 #2 Haya ndio maisha ya uswazi kilakitu kinawezekana
Chatumkali JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,037 458 Dec 18, 2013 #3 Angemaliza na ,,,,,,,,,,,,,TUNAFANYA UPASUAJI WA MOYO!
G geophysics JF-Expert Member Nov 1, 2010 904 166 Dec 19, 2013 #7 Safi saana ....nimeipenda hii...kila kitu mahali hapa
FaizaFoxy Platinum Member Apr 13, 2011 92,893 109,227 Dec 19, 2013 #8 Anaepajua hapo kama ni Dar., anielekeze nna begi langu limeharibika zipu.
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 Dec 19, 2013 #9 Hahaaa uswazi kuna vituko..sasa hayo yote yanafanywa na mtu mmoja..?
Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 Dec 19, 2013 #12 FaizaFoxy said: Anaepajua hapo kama ni Dar., anielekeze nna begi langu limeharibika zipu. Click to expand... Hatutengenezi ya watu kama wewe, we njoo tukupe begi lingine tu
FaizaFoxy said: Anaepajua hapo kama ni Dar., anielekeze nna begi langu limeharibika zipu. Click to expand... Hatutengenezi ya watu kama wewe, we njoo tukupe begi lingine tu
mnyikungu JF-Expert Member Jul 26, 2009 1,960 2,464 Dec 19, 2013 #13 Aisee...ni zadi ya ujadilia mali
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Dec 19, 2013 #14 vilevile tunatoa mimba kwa bei nafuu
Ennie JF-Expert Member Jan 15, 2011 7,137 4,122 Dec 19, 2013 #15 sister said: Hahaaa uswazi kuna vituko..sasa hayo yote yanafanywa na mtu mmoja..?[/QUOTE] Tena under one roof! Click to expand...
sister said: Hahaaa uswazi kuna vituko..sasa hayo yote yanafanywa na mtu mmoja..?[/QUOTE] Tena under one roof! Click to expand...
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,167 16,257 Dec 19, 2013 #16 Tunawaongezea wanafunzi akili
tweenty4seven JF-Expert Member Sep 21, 2013 15,672 19,187 Dec 19, 2013 #19 Pia anakuwekea dstv kwa Bluetooth
maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,144 15,146 Dec 19, 2013 Thread starter #20 FaizaFoxy said: Anaepajua hapo kama ni Dar., anielekeze nna begi langu limeharibika zipu. Click to expand... Tena hiyo walikua wameisahau si unaona ilivyoandikwa hapo mwishoni....usishangae ukifika wakabaki wanashangaa
FaizaFoxy said: Anaepajua hapo kama ni Dar., anielekeze nna begi langu limeharibika zipu. Click to expand... Tena hiyo walikua wameisahau si unaona ilivyoandikwa hapo mwishoni....usishangae ukifika wakabaki wanashangaa