_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,408
- 7,405
sorry hv uhujumu uchumi maana ake nn?Kesi hizi kwa sasa zinatumika kisiasa, kwa sababu hazina dhamana.
Kwa hiyo mtu (serikali I should say) wakitaka kukupoteza wanakufungulia kesi ya kutakatisha fedha, au wanakutishia hilo.
Ni jambo baya sana. Kwa sababu wananchi wanashindwa kujua nani ni muhalifu, na nani kafunguliwa jesi kisiasa tu.