Utajuaje mwanamke kala ndoano?

Utajuaje mwanamke kala ndoano?

Anakupigia then kabla hujapokea anakata, ukimpigia wewe ukamuuliza vp mbona umebip au nimekuta misscall yako atadai eee mbona mie ckupiga ila kuna mtu kaniazima labda kabonyeza bhy mbaya kwenye jina lako au kuna watoto hapa om wanapenda sana kuchezea cm yngu uenda ni wao wamepga bht mbaya.
 
Back
Top Bottom