Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,839
Hahahahaaaa siku hizi waatumia kidhungu et "my" vuta kamba tuJina likianza kubadilika toka la kawaida likaanza "wangu", vuta kamba
Hahahahaaaa siku hizi waatumia kidhungu et "my" vuta kamba tuJina likianza kubadilika toka la kawaida likaanza "wangu", vuta kamba
Karne hizo walikuwa wanatongozewa so hizi dalili hazikuwepo,hizi ni dalil za karne ya 21 huyo anaye kimbilia show rum ni gubegubeItakua karne ya 17 labda.cku hzi utackia bby nimeona vx kwa showroom msasani nimelipendaaa hahaaaa
kwani hapa zinaongelewa habari za kutafuta wanawake wasio wema hapa zinaongelewa dalili za mwanamke anapokuwa anaelekea kukubali endapo umemtongoza au hata kama haujamtongoza ila kuna kuwa na dalili fulani huzionesha akikuhitajiUnaweza kuvuta kamba ukakuta kumbe ndoano yenyewe imenasa mamba akakutafuna, hivi kwa nini huwa hatushauriani mbinu bora za kuoa wanawake wema na wenye maadili tunashauriana kutafuta vimada na ngono zisizo rasmi, kweli tutaendelea kwa mwendo huu!!??
Atakaetukana ndo limemgusa zaidi!
kwani hapa zinaongelewa habari za kutafuta wanawake wasio wema hapa zinaongelewa dalili za mwanamke anapokuwa anaelekea kukubali endapo umemtongoza au hata kama haujamtongoza ila kuna kuwa na dalili fulani huzionesha akikuhitaji
Hapo ndo tunasema vuta kamba maana mwanaume yeyote ni mvuvi hata mke unamvua katika kundi la wanawake wengi akionyesha dalili we vuta kamba tu umuweke ndani
Mmmh hapo kun mawili ndugu wengine ukivuta kamba inatoka patupu,ila kama anapenda kusoviwa mkiwa wawili tu hataki waje wengine huyo vuta kambaKama mko chuo atakuomba umfundishe au umsolvie swali
Na unatisha kweli ndugu yangu lakini sijui wewe umeelewaje hapa? hata mwanamke ambaye unatarajia awe mke wako hapa anahusika hawajaongelewa malaya au vicheche we vuta kamba tuuKIMWI WATISHA NDUGU ZANGU TAKE CARE
Hapa hayavutwi magonjwa hata wewe naamini kuna dalili ulionyesha kwa mpenz wako wakati anakutongoza hata kama ulimtongoza wewe ila kuna sign ambazo ulionyesha ndo hapo tunasema vuta kambaaakazaneni kuvuta..siku mkivuta na magonjwa mje mtuambie hapa
Vuta kambaaa tu........
Itakua karne ya 17 labda.cku hzi utackia bby nimeona vx kwa showroom msasani nimelipendaaa hahaaaa
Unaweza kuvuta kamba ukakuta kumbe ndoano yenyewe imenasa mamba akakutafuna, hivi kwa nini huwa hatushauriani mbinu bora za kuoa wanawake wema na wenye maadili tunashauriana kutafuta vimada na ngono zisizo rasmi, kweli tutaendelea kwa mwendo huu!!??
Atakaetukana ndo limemgusa zaidi!
Si ndio.......hivi kuna watu bado wanaombwa air time........?......hii karne ya 32........!!!!
Mtoto wa kiume hujui kama ikikatika inaungika????!!!!Hebu waelimishe maana wanawaza tu kuvuta kamba,siku ikikatika sijui itakuwaje
Mtoto wa kiume hujui kama ikikatika inaungika????!!!!
Nikishaanza kuitwaga hivi tu huwa sicheleweshi, na woote huwa wanatiki...Hahahahaaaa siku hizi waatumia kidhungu et "my" vuta kamba tu
Mimi ni wa kike.
Inaungika kwa fundo kumbuka,
Sio kila jiwe ling'aalo ni dhahabu
Be a calculative risk taker sio tu kwa kuwa una ndoano unavuta kamba,
Itakukostii mkuu