unatutisha?
Kwani na wewe ni mgonjwa?kwani mnatishika sasa?
napata wasiwasi wa hizi mbinu zenu
Afadhal uwaambie...inawezekana unachorwa dume zima unahis umepata
Eeeh hapo napo vuta kamba..."aah sorry kumbe ni mdada"!!
uKIMWI WATISHA NDUGU ZANGU TAKE CARE
kweli mkuu, kwa maana nyingine akionesha tu wivu vuta kamba.
Kwani yeye Samaki?
Hizi dalili zilitumika karne ya ngapi.......?
Wewe vuta kambaaaa tuuukumbe kilechombo tayar kwan kinadalili zote