Utajuaje mwanamke kala ndoano?

Utajuaje mwanamke kala ndoano?

Mimi ni wa kike.

Inaungika kwa fundo kumbuka,

Sio kila jiwe ling'aalo ni dhahabu

Be a calculative risk taker sio tu kwa kuwa una ndoano unavuta kamba,

Itakukostii mkuu

Ok my dada ndio maana unahofia! !!!
Na hamna uvuvi mzuri kama wa kamba kukatika na kuwa na mafundo, yaani kama unakula mua vile!!!!!
Raha yake iko hapa; mambo yakinyooka mnaanza kukumbushiana mastori ya zamani hapo kwa pillow talk sasa!!!!!Male; Hivi honey why ulinisumbua???? Female; We ulidhani mi embe uokote tuu!!!!???? Male; Sikujua kama kuna siku tutakaa hivi kama wapenzi Female; Usibweteke ujue ukinizingua nakukazia si unanijua lakini???!! Male; Duuunh sitamani asee iwe kama siku ile pale dukani karibu na kwenu maana nakuita na unaniona ila hata ukope haukukucheza nikajua ndio baas tena Female; Yaani baby those days nilikuwa nakuona ndo wale wale tuuu!!!!!

Na mambo kama hayo sasa uvuvi usio na historia kama hii daaaanh yaani kama unanua nyama buchani!!!!!!????
 
kwa dalili hizo...... kwangu wengi washakula ndoano kazi kwangu naanza kuvuta kamba ipi....... (Matokeo yakiwa tofaut muanzisha mada utakuwa na kesi ya kujibu)
 
Wengine dagaa kamba jamani. ukimvuta akitaka kutoka nje ya maji anaachia ndoano. Ila kama mikambare sana tu.
 
tatizo hawa watoto wa siku hizi wakishakula ndoano wanaanza kula Wallet..
 
Ishu ni kuvuta kamba tu, hayo mengine huwa tunayajulia huko huko mbele kwa mbele...

Yaani ni kuvuta kamba tuuu

safi sana mkuu, vuta kamba.
 
Mmmh hapo kun mawili ndugu wengine ukivuta kamba inatoka patupu,ila kama anapenda kusoviwa mkiwa wawili tu hataki waje wengine huyo vuta kamba

mkuu Daudi1 hicho kitu kimewahi kunitokea, nilipenda sana kufundisha wenzangu, nikajikuta wadada wawili marafiki wakija kila mara, mmoja kumbe ana yake akawa anampiga vita mwenzake, akawa anakuja wakati wake ili asiongozane na mwenzake, kwa kuwa radar yangu ishamnasa nikawa najichimbia naye wawili tu hadi tunataoroka vipindi, nilipovuta kamba ikatiki.
 
Last edited by a moderator:
wifi mzima??????!!!!



tayar apo kesha nasaaaaaaaa…
 
Huu izi umenifurahisha sana maana kuna mrembo despite kujua kuwa nilishavuta kamba siku nyingi na samaki wangu sio tu kwamba nilikula ila mie niliamua kumtunza ila yeye daily anadisplay hizo character zote za kuwa yeye yupo tayari kuvuliwa na hadi imefikia hatua nimemblacklist kwenye simu yangu ila kimbembe huja inapotokea tumekutana....
Yaani mh!! Anyway kwa single fishermen that is a golden opportunity if you meet any😀😀

kama umekufurahisha hujaona kitufe cha like??? watu wachoyo jamani, dah!
 
Huu umekuwa mtihani mkubwa sana kwa wanaume, wavua samaki wao wanaweka boya, akiona linazama tu anajua tayari samaki keshakula ndoano basi kazi yake ni kuvuta tu. Mwanaume unaweza kurusha ndoano kwa mwanamke, mwanzoni anaweza kutoa nje asionekane cheap, sitaki nataka au labda kweli ana mtu wake kwa wakati huo, mtihani unakuja pale mwanamke anapoachika akataka kuja kwako sasa, kukuambia hawezi ila anaanza viishara tu, sasa utajuaje kala ndoano?

1. mwanzoni anaweza akawa hakuchekei, ukiona anaanza kukuchekea basi jua mambo tayari.

2. ataanza kukutumia msg za mara kwa mara, vuta mambo tayari.

3. ataanza kukueleza matatizo yake na ikibidi kuomba msaada wa hapa na pale, mara nilicharge.

4. ataanza kuponda wanaume, wanaume waongo, mara oooh mapenzi yanaumiza, jua tayari vuta kamba.

tafadhari ongezea tupate uelewa mpana.

Ataanza kukuita bebi
 
Sijaona hata mmoja aliyeleta ripoti ya kwamba amevuta kamba, je malengo ya somo hayajafikiwa?
Ahh...hata wale wanaokutana kule love connect!
 
...ikiona anajiremba sana na kuvaa nguo nzuri tofauti na hapo awalii... "vuta kamba"...
 
Back
Top Bottom