Hii shughuli, sijawahikuwaza hata mara moja. Itakuwa vizuri iwapo wadau mtatujuza namna ya kuwatambua hasa wakati ndio wanaanza ili kuweza kujaribu kuwapa mashauri/nasaha mujarabu labda yataacha kuwa Punga na Kuwa Ugali.
Nasubiria mawazo yenu ka hamu kubwa hasa ukizingatia nimelaaniwa watoto wangu wa kiume tu wawe shoga. Lol