Voli kitoki
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 365
- 92
Umekwenda church na ulipokaa pembeni yake amekaa mpenzi wako wa zamani uliyemfuma live na boya mwingne then mkaachana. Mhubiri anawambia waumini mtizame wa pembeni yako mwambie "NAKUPENDA"
Namgeukia wa upande mwingine...
Unamwambia tu nakupenda kwani si lazima iwe ni kimapenzi
Namgeukia wa upande mwingine...
Ntatizama ukutani ntasema nakupenda saana ukuta wangu