Utajisikiaje?????

Utajisikiaje?????

Voli kitoki

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
365
Reaction score
92
Umekwenda church na ulipokaa pembeni yake amekaa mpenzi wako wa zamani uliyemfuma live na boya mwingne then mkaachana. Mhubiri anawambia waumini mtizame wa pembeni yako mwambie "NAKUPENDA"
 
Unamwambia tu nakupenda kwani si lazima iwe ni kimapenzi
 
Afu hiyo style ya kuwaambia waumini mgeukie jirani yako afu mwambie hivi ilishawahizua balaa. Ilikuwa hivi, dogo mmoja alikuwa kakaa na dingi yake karibu, mchungaji alikuwa anahubiri kuhusu wale wote ambao hawajapata kuzaa na akasema Mungu atatenda miujiza na watazaa, akasema mgeukie jirani yako mwambie "leo utapata mimba".Mara kikaskia kichapo cha maana, kumbe dogo alimgeukia dingi yake akamwambia "leo utapata mimba"
 
Hahahah baba v umetisha hahhaha

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom