Karibu unifanyie uhakiki.
ila nikikutongoza usilalamike
Hivi utajisikiaje kuwa na mwanamke asietongozwa? Badala ujisifie kwa kumiliki mke anaetolewa macho? Mpe jamaa ofa akanywee mezani kwake, awapishe!
Mie Kama sio handsome basi walau uwe na hela AMA gari Nzuri hivi.King'asti sasa hayo masihara tena (hapo kwa red) loh!
Mie Kama sio handsome basi walau uwe na hela AMA gari Nzuri hivi.
Umetoka nyumbani na mkeo, bahati mbaya mkeo kasahau pete yake ya ndoa. Mnafika mahali mmekaa we simu ikaita ukatoka kidogo kwa sababu ya kelele uliporudi ukakuta kuna jamaa anamtongoza mkeo, halafu mkeo unamuona anajing'atang'ata vidole tu huku anakutizama. Halafu jamaa unamsikia anazidi kubembeleza kwa sauti ya upole ya mahaba. utajisikiaje, utachukua hatua gani!!.
Umetoka nyumbani na mkeo, bahati mbaya mkeo kasahau pete yake ya ndoa. Mnafika mahali mmekaa we simu ikaita ukatoka kidogo kwa sababu ya kelele uliporudi ukakuta kuna jamaa anamtongoza mkeo, halafu mkeo unamuona anajing'atang'ata vidole tu huku anakutizama. Halafu jamaa unamsikia anazidi kubembeleza kwa sauti ya upole ya mahaba. utajisikiaje, utachukua hatua gani!!.
Utasikia umpendae hajambo? Haha wanaume ni noumah, nimewakubali.
Lol! A car defines a man. Ndo natengeneza utaratibu na sie Beijing tuwe defined na magari.Kumbe na wewe ni mgonjwa wa hii kitu..lol!
Lol! A car defines a man. Ndo natengeneza utaratibu na sie Beijing tuwe defined na magari.
what is the sexiest car kwa Wanawake?