DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 301
Umetoka nyumbani na mkeo, bahati mbaya mkeo kasahau pete yake ya ndoa. Mnafika mahali mmekaa we simu ikaita ukatoka kidogo kwa sababu ya kelele uliporudi ukakuta kuna jamaa anamtongoza mkeo, halafu mkeo unamuona anajing'atang'ata vidole tu huku anakutizama. Halafu jamaa unamsikia anazidi kubembeleza kwa sauti ya upole ya mahaba. utajisikiaje, utachukua hatua gani!!.