Vinaweza kutumika vya miguuniHabari wakuu.
Utajisajili vipi katika mfumo wa nida unaohitaji taarifa za fingerprint endapo uliungua mikono kwa ajali?
Dah! Changu kina-expire mwezi novemba 2024, sijui mchakato wa kupata utakuwa mrefu kama wa wengine!Lichukuliwe, awamu ijayo vitafutiwa jawabu lako mana vingi vinakikomo vya awamu ya Kikwete na billion 20 ziliyoyoma na kikomo 2028 vinginevyo awamu ya magufuli visivyo na kikomo vitafanyiwa kazi
Mbona serikal ilishatoa ufafanuzi kuwa wameshaindoa expiry date kwa vitambulisho hivyoDah! Changu kina-expire mwezi novemba 2024, sijui mchakato wa kupata utakuwa mrefu kama wa wengine!
Sikusikiaga, bora kama hivyo aisee! Maana nilivyokuwa nasikia kuna watu wana miaka mitatu hawajapata vitambulisho nikawa nawaza sana kuingia kwenye hilo kundi.Mbona serikal ilishatoa ufafanuzi kuwa wameshaindoa expiry date kwa vitambulisho hivyo