Utajiri wenye uchungu

Vitu vingine sio vya kuvifanyia siri jamaa amekufa kwa ujinga wake
 
mimi tangu mwanzo alipoanza kutumia uume wa bandia na kutafta sperm donor nilijua tu huko mwisho kutakua na tukio
Kabisa,maana kwa sperm donor kosa kubwa sana alilolifanya ni moja.
Aidha Dr. au Mike mmoja wapo alitakiwa astafishwe kuishi ili Dylan awe salama. Tofauti na hapo ni kimbembe.
 

Inahuzunisha sana...

Hii simulizi inafundisha kwamba, Japo maisha siyo kutesa kila kila siku, hata pesa nayo, inaweza ikawa siyo kila kitu...


Chapter Closed...


Cc: mahondaw
 
Inahuzunisha sana...
Hii simulizi inafundisha kwamba, Japo maisha siyo kutesa kila kila siku, hata pesa nayo, inaweza ikawa siyo kila kitu...
Chapter Closed...
Cc: mahondaw
ni kweli na pamoja na pesa zote bado ameshindwa kujitibu tatizo lake lakini pengine angekubaliana na hali yake akaadopt tu mtoto pengine angempa faraja asingefariki hivo
 
ni kweli na pamoja na pesa zote bado ameshindwa kujitibu tatizo lake lakini pengine angekubaliana na hali yake akaadopt tu mtoto pengine angempa faraja asingefariki hivo

Ukiwa na pesa kuna mambo mengine ni ngumu sana kuyakubali au kuyaacha yapite tu hivyo hivyo...

Utatumia kila njia na uwezo wako wote, mambo yaende na kuonekana sawa hata kama haiwezekani...



Cc: mahondaw
 
Hiko ndio kimemcost dylan sasa s angekua wazi tu ana hiyo kadhia pengine angependwa hivohivo
Ukiwa na pesa kuna mambo mengine ni ngumu sana kuyakubali au kuyaacha yapite tu hivyo hivyo...
Utatumia kila njia na uwezo wako wote, mamb yaende na kuonekana sawa hata kama haiwezekani...
Cc: mahondaw
 
Du
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…