Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Nipo mshana jr, hamna umasikini mbaya kama umasikini wa fikra. Ukiona mtu anataka utajiri kwa njia za ajabu ajabu ujue fikra zake ni masikini mno kiasi kwamba ameshindwa kufanya kwa uwezo wake sasa ameamua kuimport mashetani yamsaidie

au vp bwana
 
Last edited by a moderator:

Mie nna rafiki yangu mkinga, kwao matajiri wakubwa wana maduka mengi ya jymla na nyumba nyingi sana.Watoto wote wamesoma.Wanamiliki simu na vitu vya gharama sana na wanavaa vizuri tu.
Jamani ikifika muda wa kula ni vituko...maharagwe kama yameunguzwa kusudi, mboga za majani mchemsho.Dona gumuu na michumvi kibao.
Kah unawezq jua wanafanya kusudi.
Sioni mantiki ya kufanya biashara ukapata faida afu ukaishi vibaya.Ni uchizi.
Siku wakila nyama utadhani wanajipikilisha ni michuzi na haiivi vizuri
 

Masharti na miiko yana zingatia na ole wake mmojawapo aende nje akale chips kwa siri atazinya kama zilivyo
 

sasa huo ni utajir au wendawazim.bora hata kasomesha watt ni mtaj usiofilisika
 
Other things remaining constant, Sioni sababu ya kuishi kama nakosa hvyo vitu vikuu vi 3. Hasa hyo option ya kwanza. Tehe

Tunatafuta utajiri ili tujitosheleze kimaisha na kufurahia kile ulichonacho kama huenjoy na una utajiri basi ni afadhali kubaki fukara
 
Nimewahi sikia eti kuna ule utajiri kuku anatupiwa punje akidonoa moja utaishi mwaka mmoja ila ni full bata akidonoa mbili ivo ivo but baada ya hapo lazima ufe.je kuna ukweli?
Cc. MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
Me huu msemo wa imeletwa na nani ndio hapo nachanganyikiwa sasa Kwani huyo Mungu atakuwa amewalenga wakina nani?

Yeah Mungu amewalenga wanadamu na hao wanadamu wema ndio Mungu anawatumia kwenye maagizo yake sio kama wanadamu wote ni wauwaji na waovu japo hao ndio waliolengwa na imani.

Na unatakiwa utambue Ukristo ni imani sio dini na hakuna race wala taifa lenye hatimiliki na imani ya Ukristo.
 

Ahsante. Umeeleweka.
 

πŸ˜ŽπŸ™:banghead:😎
 
just imagine, lengo sasa linabaki kuwa una hela ili watu wakuone/wakujue, lakini kufaidi hufaidi ng'ooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…