Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,637
- 220,409
Ni kama Magufuli asiye pends kukosolewa wala ushindaniHivi Mtu mwenye akili ni yupi? Naomba reference iwe ni wewe mwenyewe!
Ni kama Magufuli asiye pends kukosolewa wala ushindaniHivi Mtu mwenye akili ni yupi? Naomba reference iwe ni wewe mwenyewe!
Nilitaka kujenga hoja lakini nimegundua uwezo wako wa kufikir ni mdogo sanaNi kama Magufuli asiye pends kukosolewa wala ushindani
H a a h a a.., Madam kwa hili jibu nimejikuta najuta hata kuuliza swali lenyewe!Ni kama Magufuli asiye pends kukosolewa wala ushindani
Sasa Mkuu hoja si unajenga kutokana na Mada iliyoletwa kwenye barza hii au uwezo wake mdogo wa kufikiri umepelekeaje wewe kushindwa kujenga hoja?Nilitaka kujenga hoja lakini nimegundua uwezo wako wa kufikir ni mdogo sana
Ni kama Magufuli asiye pends kukosolewa wala ushindani
Hapa magufuli ameingiaje au ni hoja ya kisiasaSasa Mkuu hoja si unajenga kutokana na Mada iliyoletwa kwenye barza hii au uwezo wake mdogo wa kufikiri umepelekeaje wewe kushindwa kujenga hoja?
Mada iliyopaswa uichangie haikutaja hilo jina., sasa iweje mpita njia akufanye usiongee na mwenye nyumba?Hapa magufuli ameingiaje au ni hoja ya kisiasa
Wameambiwa wstafute hela yao wenyewe.Hi mtoto wa BILL GATES anahitaji kutumia shilingi ngapi kwa siku bila akili ndipo afilisike?
Sent using Jamii Forums mobile app
Govi ni ugonjwa mbaya ni chanzo cha inferiority complexNi kama Magulumali asiye pends kukosolewa wala ushindani