chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Ukiona mtu katajiri jambo la kwanza utajiuliza mbona mimi nimeshindwa kuwa kama yeye.
Napo sema utajiri ni rahisi kuupata kwa sababu njia zake ni rahisi pale utakapo gundua unapatikanaje kama fursa,soko,bei na n.k
Matajiri wengi tunao waona na wengine wakubwa wamekuwa wakitupa njia za kutajirika hata kutuandikia vitabu vya mbinu na wengine kuwa wana hamasa mitandaoni huku wakituonesha ufahali na bata kibao.
Ila katika urahisi ambao hupo kwenye utajiri ni mgumu sana katika masharti yake.
Masharti yake ya kufanikiwa
* Kuwa mdhulumati
Ukiona watu wengi waliofanikiwa sehemu kubwa ni wazulumati kwenye biashara za watu kama malipo duni,mgao mdogo,ubinafsi wa kumiliki bila kuangalia wengine,utapeli,kulithi mali zisizo zake n.k
* Kuwa tapeli
Hii ya utapeli aina tofauti na uzulumati maana matajiri wengi utapeli watu na kupata pesa ya haraka mifano mingi tunayo na wengine walikuwa hapa JF,hata dada yetu mmoja alitamba insta kwa maisha mazuri.
* Biashara haramu
Hili suala watu wengi wametumia kama sehemu kubwa ya kupata utajiri kwa kasi kama kukwepa kodi,biashara za magendo,wizi,madawa,unyang'nyi ,kuhuza mwili na n.k
* Imani za kishirikina
Wasio amini uchawi hupo basi tambua hupo kwa sababu watu wanaingia kutoa maisha ya wapendwa wao,mazezeta,damu za watu na n.k ili kulinda na kuongeza mali zikuwe kwa njia wanazo jua wao.
* Roho mbaya
Ili kupata utajiri itakubidi kuwa na roho mbaya ili kufanikiwa hata ikibidi shetani kuwa karibu yako.
Ndio maana ule msemo :
Ni heli Ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri labda kwa uhuruma ya mungu.
Napo sema utajiri ni rahisi kuupata kwa sababu njia zake ni rahisi pale utakapo gundua unapatikanaje kama fursa,soko,bei na n.k
Matajiri wengi tunao waona na wengine wakubwa wamekuwa wakitupa njia za kutajirika hata kutuandikia vitabu vya mbinu na wengine kuwa wana hamasa mitandaoni huku wakituonesha ufahali na bata kibao.
Ila katika urahisi ambao hupo kwenye utajiri ni mgumu sana katika masharti yake.
Masharti yake ya kufanikiwa
* Kuwa mdhulumati
Ukiona watu wengi waliofanikiwa sehemu kubwa ni wazulumati kwenye biashara za watu kama malipo duni,mgao mdogo,ubinafsi wa kumiliki bila kuangalia wengine,utapeli,kulithi mali zisizo zake n.k
* Kuwa tapeli
Hii ya utapeli aina tofauti na uzulumati maana matajiri wengi utapeli watu na kupata pesa ya haraka mifano mingi tunayo na wengine walikuwa hapa JF,hata dada yetu mmoja alitamba insta kwa maisha mazuri.
* Biashara haramu
Hili suala watu wengi wametumia kama sehemu kubwa ya kupata utajiri kwa kasi kama kukwepa kodi,biashara za magendo,wizi,madawa,unyang'nyi ,kuhuza mwili na n.k
* Imani za kishirikina
Wasio amini uchawi hupo basi tambua hupo kwa sababu watu wanaingia kutoa maisha ya wapendwa wao,mazezeta,damu za watu na n.k ili kulinda na kuongeza mali zikuwe kwa njia wanazo jua wao.
* Roho mbaya
Ili kupata utajiri itakubidi kuwa na roho mbaya ili kufanikiwa hata ikibidi shetani kuwa karibu yako.
Ndio maana ule msemo :
Ni heli Ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri labda kwa uhuruma ya mungu.