Utajiri ni rahisi kuupata ila masharti yake ni magumu

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Ukiona mtu katajiri jambo la kwanza utajiuliza mbona mimi nimeshindwa kuwa kama yeye.

Napo sema utajiri ni rahisi kuupata kwa sababu njia zake ni rahisi pale utakapo gundua unapatikanaje kama fursa,soko,bei na n.k

Matajiri wengi tunao waona na wengine wakubwa wamekuwa wakitupa njia za kutajirika hata kutuandikia vitabu vya mbinu na wengine kuwa wana hamasa mitandaoni huku wakituonesha ufahali na bata kibao.

Ila katika urahisi ambao hupo kwenye utajiri ni mgumu sana katika masharti yake.

Masharti yake ya kufanikiwa

* Kuwa mdhulumati
Ukiona watu wengi waliofanikiwa sehemu kubwa ni wazulumati kwenye biashara za watu kama malipo duni,mgao mdogo,ubinafsi wa kumiliki bila kuangalia wengine,utapeli,kulithi mali zisizo zake n.k

* Kuwa tapeli
Hii ya utapeli aina tofauti na uzulumati maana matajiri wengi utapeli watu na kupata pesa ya haraka mifano mingi tunayo na wengine walikuwa hapa JF,hata dada yetu mmoja alitamba insta kwa maisha mazuri.

* Biashara haramu
Hili suala watu wengi wametumia kama sehemu kubwa ya kupata utajiri kwa kasi kama kukwepa kodi,biashara za magendo,wizi,madawa,unyang'nyi ,kuhuza mwili na n.k

* Imani za kishirikina
Wasio amini uchawi hupo basi tambua hupo kwa sababu watu wanaingia kutoa maisha ya wapendwa wao,mazezeta,damu za watu na n.k ili kulinda na kuongeza mali zikuwe kwa njia wanazo jua wao.

* Roho mbaya
Ili kupata utajiri itakubidi kuwa na roho mbaya ili kufanikiwa hata ikibidi shetani kuwa karibu yako.

Ndio maana ule msemo :

Ni heli Ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri labda kwa uhuruma ya mungu.
 
Ibrahim alikuwa Tapeli na dhulumat?

Ayubu alikuwa Tapeli na dhulumati?

Suleiman alikuwa Dhulumat na Tapeli?

Ku-generalize kuwa Utajiri ni utapeli, udhulumati, Uchawi na biashara haramu ni Dalili ya akili za kimasikini.

Ni heri ungesema wengi wa matajiri wapo hivyo na utaje na Nchi kabisa.

Lakini kutoa excuse Kama zako ni moja ya sifa za Masikini.

Mwishowe useme Mungu naye ni Tapeli na dhulamat Kwa sababu yeye ndiye Tajiri namba moja.

Sifa ulizozitaja masikini wengi ndio tunazo.

Mungu sio masikini
Na Mungu ndiye anayetoa Utajiri Kwa sababu yeye ni Tajiri.

Umasikini wako na wenzako unasababishwa na sababu ulizozitaja, uzembe, uvivu na ujinga
 
Ibrahim alikuwa Tapeli na dhulumat?
Ayubu alikuwa Tapeli na dhulumati?
Suleiman alikuwa Dhulumat na Tapeli?

Ku-generalize kuwa Utajiri ni utapeli, udhulumati, Uchawi na biashara haramu ni Dalili ya akili za kimasikini.

Ni heri ungesema wengi wa matajiri wapo hivyo na utaje na Nchi kabisa.

Lakini kutoa excuse Kama zako ni moja ya sifa za Masikini.

Mwishowe useme Mungu naye ni Tapeli na dhulamat Kwa sababu yeye ndiye Tajiri namba moja.

Sifa ulizozitaja masikini wengi ndio tunazo.

Mungu sio masikini
Na Mungu ndiye anayetoa Utajiri Kwa sababu yeye ni Tajiri.

Umasikini wako na wenzako unasababishwa na sababu ulizozitaja, uzembe, uvivu na ujinga

wewe umeshakuwa tajiri ukafahamu haya au maskini wa mwenzangu
 
wewe umeshakuwa tajiri ukafahamu haya au maskini wa mwenzangu


Hizo sifa ulizotaja ni zawatuu masikini Kama wewe.

Watu wanaofikiri kila kitu kinakuja Kwa bahati.

Nimekupa mifano ya manabii wenye heshima ambao walikuwa matajiri.

Nimekuambia MUNGU mwenyewe ni Tajiri tena namba Moja.

Utasema naye ni Tapeli, dhulamat?

Au bado hujaona Logic ya nilichouliza?

Ukiwa na mawazo mgando Kama yako sio ajabu ukafikisha mpaka miaka 40 hujawahi kushika milioni 10 yako mwenyewe
 
Hizo sifa ulizotaja ni zawatuu masikini Kama wewe.

Watu wanaofikiri kila kitu kinakuja Kwa bahati.

Nimekupa mifano ya manabii wenye heshima ambao walikuwa matajiri.

Nimekuambia MUNGU mwenyewe ni Tajiri tena namba Moja.

Utasema naye ni Tapeli, dhulamat?

Au bado hujaona Logic ya nilichouliza?

Ukiwa na mawazo mgando Kama yako sio ajabu ukafikisha mpaka miaka 40 hujawahi kushika milioni 10 yako mwenyewe
Ujaelewa izo ni mambo baadhi zinakuwa nyuma ya pazia na ambazo hutoambiwa katika vitabu vya hao matajiri wanavyoandika ila 90% ndo utajiri wao unavyotokana na sio wanavyaondika kwenye vitabu
 
Siri kubwa ya utajiri ni kuheshimu pesa, nunua mahitaji ya muhimu tu. Huwezi kuweka heshima bar wakati wa utafutaji na ukawa tajiri.

Unapangisha nyumba Masaki kodi milioni 2 kwa mwezi na wewe unataka kuwa tajiri.

Unakwenda shopping Dubai, unanunua designer handbags na viatu, na wewe unataka uwe tajiri.
 
Ujaelewa izo ni mambo baadhi zinakuwa nyuma ya pazia na ambazo hutoambiwa katika vitabu vya hao matajiri wanavyoandika ila 90% ndo utajiri wao unavyotokana na sio wanavyaondika kwenye vitabu

Mungu ndiye Tajiri namba moja, je yeye ni Tapeli na dhulmat?

Ukinijibu hapa ndio nitajua unaakili au laa
 
Siri kubwa ya utajiri ni kuheshimu pesa, nunua mahitaji ya muhimu tu. Huwezi kuweka heshima bar wakati wa utafutaji na ukawa tajiri.

Unapangisha nyumba Masaki kodi milioni 2 kwa mwezi na wewe unataka kuwa tajiri.

Unakwenda shopping Dubai, unanunua designer handbags na viatu, na wewe unataka uwe tajiri.
Very important
 
Mungu ndiye Tajiri namba moja, je yeye ni Tapeli na dhulmat?

Ukinijibu hapa ndio nitajua unaakili au laa
Usije ukakaa je kwa vile kuna maswali yatakushinda

Huyo ni mungu mkuu sio mwanadamu ukimchambua sana una kufuru usilinganishe na viumbe vyake
 
Usije ukakaa je kwa vile kuna maswali yatakushinda

Huyo ni mungu mkuu sio mwanadamu ukimchambua sana una kufuru usilinganishe na viumbe vyake

Unafikiri Mungu yupo pekeake?
Unadhani hakunà miungu wengine?

Ulinganifu unakuja Kwa sababu Mwanadamu ni mfano wa MUNGU.

Ukishasema mwanadamu ujue automatically umemtaja Mungu, unalijua hilo?

miungu ipo mingi Sana, Ila Mungu Tajiri namba moja, je naye ni Tapeli au dhulmat?
 
ukishaukubali UMASIKINI.......wewe ni MASiKINI..........ukiweza kutumia akili zako vema...umeshakuwa TAJIRI.......sababu utajiwekea mipango dhabiti na mwelekeo mzuri wa maisha yako....MALENGO..... "acha wafu WAZIKE wafu wao"
 
Ukiona mtu katajiri jambo la kwanza utajiuliza mbona mimi nimeshindwa kuwa kama yeye.

Napo sema utajiri ni rahisi kuupata kwa sababu njia zake ni rahisi pale utakapo gundua unapatikanaje kama fursa,soko,bei na n.k

Matajiri wengi tunao waona na wengine wakubwa wamekuwa wakitupa njia za kutajirika hata kutuandikia vitabu vya mbinu na wengine kuwa wana hamasa mitandaoni huku wakituonesha ufahali na bata kibao.

Ila katika urahisi ambao hupo kwenye utajiri ni mgumu sana katika masharti yake.

Masharti yake ya kufanikiwa

* Kuwa mdhulumati
Ukiona watu wengi waliofanikiwa sehemu kubwa ni wazulumati kwenye biashara za watu kama malipo duni,mgao mdogo,ubinafsi wa kumiliki bila kuangalia wengine,utapeli,kulithi mali zisizo zake n.k

* Kuwa tapeli
Hii ya utapeli aina tofauti na uzulumati maana matajiri wengi utapeli watu na kupata pesa ya haraka mifano mingi tunayo na wengine walikuwa hapa JF,hata dada yetu mmoja alitamba insta kwa maisha mazuri.

* Biashara haramu
Hili suala watu wengi wametumia kama sehemu kubwa ya kupata utajiri kwa kasi kama kukwepa kodi,biashara za magendo,wizi,madawa,unyang'nyi ,kuhuza mwili na n.k

* Imani za kishirikina
Wasio amini uchawi hupo basi tambua hupo kwa sababu watu wanaingia kutoa maisha ya wapendwa wao,mazezeta,damu za watu na n.k ili kulinda na kuongeza mali zikuwe kwa njia wanazo jua wao.

* Roho mbaya
Ili kupata utajiri itakubidi kuwa na roho mbaya ili kufanikiwa hata ikibidi shetani kuwa karibu yako.

Ndio maana ule msemo :

Ni heli Ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko tajiri labda kwa uhuruma ya mungu.
Tuanzie ktk kichwa cha habari kuwa tajiri sio kazi rahisi .

Swala la pili watu wenye akili na mawazo kama yako ni vigumu sana kufanikiwa acha majungu kwani elimu ya mjinga ni majungu
 
Siri kubwa ya utajiri ni kuheshimu pesa, nunua mahitaji ya muhimu tu. Huwezi kuweka heshima bar wakati wa utafutaji na ukawa tajiri.

Unapangisha nyumba Masaki kodi milioni 2 kwa mwezi na wewe unataka kuwa tajiri.

Unakwenda shopping Dubai, unanunua designer handbags na viatu, na wewe unataka uwe tajiri.
kwa wabongo ukiwa na nidhamu ya matumizi ya pesa utaitwa bahili, mbinde,mchawi, na wakikasirika watafunguka kusema una roho mbaya marafiki watapungua yani matajiri wanayo kazi
 
Back
Top Bottom