Je utajiri unaweza kuchangia ustaarabu wako?
Nimekuwa nikitazama kwenye zebra kwa utafiti wangu. Ni rahisi V8 awape chance ya kuvuka watembea kwa miguu kuliko ist na bodaboda.
NB. Assumption ya utafiti ni kuwa mwenye v8 ana kipato kuliko bodaboda.
Update.
Angalia daladala zinazokwenda sehemu za watu wa chini sana. Wana tabia za kurukia madirishani, uchomoaji ni wao
Nenda maeneo ya kujihifadhi sehemu za watu maskini, mf shule, hosp, etc utakuta mtu anaacha shimo anajisaidia pembeni.
Nenda stend ya Magufuli. Ukipanda kuelekea juu unakutana na mikojo ilihali kuna vyoo.
Poverty is an evil. Let's fight it. It has a very negative impact on our behavior and attitude.
Nimekuwa nikitazama kwenye zebra kwa utafiti wangu. Ni rahisi V8 awape chance ya kuvuka watembea kwa miguu kuliko ist na bodaboda.
NB. Assumption ya utafiti ni kuwa mwenye v8 ana kipato kuliko bodaboda.
Update.
Angalia daladala zinazokwenda sehemu za watu wa chini sana. Wana tabia za kurukia madirishani, uchomoaji ni wao
Nenda maeneo ya kujihifadhi sehemu za watu maskini, mf shule, hosp, etc utakuta mtu anaacha shimo anajisaidia pembeni.
Nenda stend ya Magufuli. Ukipanda kuelekea juu unakutana na mikojo ilihali kuna vyoo.
Poverty is an evil. Let's fight it. It has a very negative impact on our behavior and attitude.