Kwa ufupi tu umoja ni nguvu. Ukiangalia vizuri kuna vitu ambavyo wana EAC tungeweza kufanya pamoja na kurahisisha maendeleo ya nchi zote
1. Madawa tungeweza kuagiza pamoja maana tunaumwa magojwa yale yale hii ingesaidia kupunguza bei ya uagizaji kwasababu tuna nunua kwa jumla. Lakini kwenye chanjo kama za Corona tungeweza kuagiza kwa pamoja na kugawana zikifika hapa!.
2. Mfumo wa elimu tungeweza kuweka mfumo mmoja hii ingesaidia wawekezaji wakija kwenye nchi mmoja kuwa na vijana wenye elimu zenye uwiano sawa. Vilevile ingesaidia kwa elimu za madaktari na walimu.
3. Usalama pamoja na kuwa na majeshi yetu tungeweza kuwa na jeshi ya EAC kwa ujumla kupambana na ugaidi na ku share hata satellite za usalama. Hii ingepunguza matumizi mabaya ya kijeshi maana tumekuwa dump la kuuziwa vifaa vya kizamani.
4. Shirika la ndege moja ni vichekesho kuwa na shirika la ndege kila nchi ! Tungefungua kampuni moja halafu wawe wanakodisha ndege kutoka nchi shiriki na kila nchi itakuwa na share kutokana na mchango wake hii ingepunguza gharama na kuongeza ushindani bila hivi mashirika ya nje yataendelea kutawala anga zetu.
5. Masoko ya mzao ya pamoja yaani kuwe na shirika la kuongoza masoko ya biashara za mazao na bei ziwe wazi na kutangazwa kote kuwe na masoko ya jumla kila mpakani ya kisasa. Kama ilivyo dhahabu bei za mazao ziwe zinatangazwa kwa uwazi .
6. Tuwe na vyuo vya technologia na ufundi pamoja kufundisha teknologia mpya kama programming. Fungueni kampuni na kuingia mkataba na kampuni kama Microsoft, google, Apple na Oracle ili vijana wetu waweze kufanya kazi kutokea nchi hizi washiriki.
India mfano wana vijana kwa milioni wanafanya kazi za nchi nyingine kuanzia engineering design, customer service, payroll and accounting, bank support. kwanini sisi tushidwe wakati tuna vijana wengi.
Kwa ufupi tungeangalia kwa upana tungeweza kuendelea zaidi kuliko sasa.
1. Madawa tungeweza kuagiza pamoja maana tunaumwa magojwa yale yale hii ingesaidia kupunguza bei ya uagizaji kwasababu tuna nunua kwa jumla. Lakini kwenye chanjo kama za Corona tungeweza kuagiza kwa pamoja na kugawana zikifika hapa!.
2. Mfumo wa elimu tungeweza kuweka mfumo mmoja hii ingesaidia wawekezaji wakija kwenye nchi mmoja kuwa na vijana wenye elimu zenye uwiano sawa. Vilevile ingesaidia kwa elimu za madaktari na walimu.
3. Usalama pamoja na kuwa na majeshi yetu tungeweza kuwa na jeshi ya EAC kwa ujumla kupambana na ugaidi na ku share hata satellite za usalama. Hii ingepunguza matumizi mabaya ya kijeshi maana tumekuwa dump la kuuziwa vifaa vya kizamani.
4. Shirika la ndege moja ni vichekesho kuwa na shirika la ndege kila nchi ! Tungefungua kampuni moja halafu wawe wanakodisha ndege kutoka nchi shiriki na kila nchi itakuwa na share kutokana na mchango wake hii ingepunguza gharama na kuongeza ushindani bila hivi mashirika ya nje yataendelea kutawala anga zetu.
5. Masoko ya mzao ya pamoja yaani kuwe na shirika la kuongoza masoko ya biashara za mazao na bei ziwe wazi na kutangazwa kote kuwe na masoko ya jumla kila mpakani ya kisasa. Kama ilivyo dhahabu bei za mazao ziwe zinatangazwa kwa uwazi .
6. Tuwe na vyuo vya technologia na ufundi pamoja kufundisha teknologia mpya kama programming. Fungueni kampuni na kuingia mkataba na kampuni kama Microsoft, google, Apple na Oracle ili vijana wetu waweze kufanya kazi kutokea nchi hizi washiriki.
India mfano wana vijana kwa milioni wanafanya kazi za nchi nyingine kuanzia engineering design, customer service, payroll and accounting, bank support. kwanini sisi tushidwe wakati tuna vijana wengi.
Kwa ufupi tungeangalia kwa upana tungeweza kuendelea zaidi kuliko sasa.