Toka utawala huu wa sasa uingie madarakani kuna wafanyabishara wengi tu wamehamia nchi jirani kama Kenya, Uganda na Zambia na wanafanya shughuli zao bila matatizo yoyote.
Ile fikra kwamba wakenya wana roho mbaya ilikuwa ni zamani na kwa sasa hawako hivyo. Mimi natembelea mara kwa mara Nairobi na Kisumu na kulishuhudia hili.
Na kiukweli kwa sasa ni Kenya ndio inayoilalamikia Tanzania kwa kuwanyanyasa raia wake tofauti na ilivyokuwa hapo zamani ambapo Tanzania ndio ilikuwa ikiilalamikia Kenya kwa kuwanyanyasa watanzania nchini mwao.
Mkishakuwa majirani lazima mnahitajiana mpende msipende ila ukweli wakenya wamebadilika sana sio kama walivyokuwa zamani.
Ile fikra kwamba wakenya wana roho mbaya ilikuwa ni zamani na kwa sasa hawako hivyo. Mimi natembelea mara kwa mara Nairobi na Kisumu na kulishuhudia hili.
Na kiukweli kwa sasa ni Kenya ndio inayoilalamikia Tanzania kwa kuwanyanyasa raia wake tofauti na ilivyokuwa hapo zamani ambapo Tanzania ndio ilikuwa ikiilalamikia Kenya kwa kuwanyanyasa watanzania nchini mwao.
Mkishakuwa majirani lazima mnahitajiana mpende msipende ila ukweli wakenya wamebadilika sana sio kama walivyokuwa zamani.