Daaah nimejaribu kujiunga icombined mkuu lakini kili nikitaka kuregister napata msg hii;
"Your details match those of a known spammer, therefore you have been disallowed registration." msaada wako mkuu
pwa ntajaribu tena ltrmkuu hawa jamaa wana security ya ajabu against spammers. Nimecheck na mods wao now everything is fine.
Nilishawahi jiunga huko lakini tatizo ikawa its very veeeeery slow kwenye upande wa chating sasa sijui wamerekebisha hilo?Mimi Hata kama facebook haifungwi mimi nimehamia kwenye mtandao huu mpya na bomba kabisa ambao ni facebook ya bongo ( www.rafikibuzz.com ) Imeitwa facebook ya bongo coz inafanana na facebook. ni nzuri sana nawe jiunge hutajutia. Tuiungeni mkono nayo iwe juu
Mbona huulizi CCM kikizikwa utahamia Chama kipi, kimeshakufa bado kufukiwa tu shimoni
Na utakuwa unauza chai kwenye forum gani ya kitanzania iwapo jamiiforums ikifungwa ?
Bila kufuta mlolongo kati ya hizi na nyingine unazojua
Rafikiforum
iCombined | Together We Make it Shine
AfroIT Forums - Kijiji cha ICT •*CCNA BootCamp -
Wanabidii | Google Groups
mmh hili nalo neno wajameni...afu juzi nilisoma post moja kuhusu kuchangia JF wajameni maana according to MODERATORS kuna kipindi server ilishawahi kuzidiwa na mzigo wa watu ikabidi ziongezwe server zengine na zinagharimu mshiko....(post yake ipo hapa : https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/22767-changia-jf-mkono-mtupu-haulambwi.html#post355625 ) actually mimi mwenyewe bado sijachangia ila niko mbioni kufanay hivyo so na kwa wale waliokuwa hawajui wajameni tuiwezesha JF izidi kusonga mbele maana lah...:help:
naamini hata wewe uko mbioni kama si tayari...Fanya ivo mkubwa
Facebook ndo nini??ndo cloudsfm?? au nielimisheni au ni chama kipya??au kitabu kipya novel au jamani niambieni hiki kinaitwa facebook?/crap facebook wazungu ndo wenye facebook nyie mnaweka ujinga mtu akidu anaweka akijamba anaweka ukiachana na demu unaweka ukiliwa na viroboto unaweka kitugani hakina moderator!!
naamini hata wewe uko mbioni kama si tayari...
<br><br>Ile kitu Fb inatakiwa iwe inasimamiwa na PAW. Mpaka leo hii angesha washughulikia nusu ya watumiaji kwa ujinga wao. Huyu jamaa hana utani.<div id="myEventWatcherDiv" style="display:none;"></div>Facebook ndo nini??ndo cloudsfm?? au nielimisheni au ni chama kipya??au kitabu kipya novel au jamani niambieni hiki kinaitwa facebook?/crap facebook wazungu ndo wenye facebook nyie mnaweka ujinga mtu akidu anaweka akijamba anaweka ukiachana na demu unaweka ukiliwa na viroboto unaweka kitugani hakina moderator!!
ntahamia zangu bar sinza