UTAFITI-Wanawake wanavutiwa na hii

UTAFITI-Wanawake wanavutiwa na hii

Mbona wazungu sasa wana kijiharufu flani hivi hakieleweki Ana wakija huku kwetu ndo wanakuwa hivi? Yaani harufu kama ya banda la kuku...utafiti huu niufanya mimi wautoe ktk media pia.......wanaume wa dar mnakula mboga mboga au ndo nyie mmeambiwa mna harufu nzito
😀😀😀😀
 
Utafiti mpya uliofanywa Australia umeonesha kuwa wanawake wengi huvutiwa zaidi na wanaume wenye tabia ya kula mboga za majani kwa wingi.

Timu ya Watafiti kutoka Macquarie University, Australia wamebaini katika Utafiti wao kuwa wanaume ambao hutumia mboga za majani na matunda kwa wingi huwa na rangi nzuri ya ngozi, hunukia vizuri na wanakuwa na afya nzuri zaidi kuliko wanaume wanaokula vyakula vya wanga kwa wingi.

Watafiti hao pia wamebainisha kuwa wanaume ambao wanapenda kula nyama kwa wingi miili yao hutengezeka harufu nzito ambayo haijabainishwa kuwa ni nzuri au mbaya wakati wale wanaopenda kula vyakula vizito vya wanga hutoa harufu isiyo nzuri.
vegetables-660x400.jpg


Source:millard ayo
Tafiti zingine bhana
Eti wanaopenda kula mboga za majani, na enzi hizi za kidudu mtu??


Mwanamke anavutiwa na ile kitu ilomuua yesu,
Hivi vingine atavipendea akiziona hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanawake wa bongo wanapendelea wanaume wanao kula chipsi au nimefanya utafiti vibaya jamani?!!!

Task Force12
 
Tafiti nyingi hufanywa na Masikini kwa fedha ya Matajiri...!!

Yote hii ni Masikini katika kupambana na hali yake...!!

Haaya sasa Kisamvu, Tembere, Jani la Maboga muda si muda kupanda bei.

Hali ya Uchumi, imekufanya kushindwa kumudu bei ya Nyama, unaishia kujifariji na kujiangamiza na TAFITI.....!!

Pambana na hali yako...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom