Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

Magufuli, CCM hawana kazi tena, kwishaaaaaa wezi wakubwa hawa.. !!

Lowassa hadi sasa katika MEDIA ZOTEEEE, yuko above 80%.......average za kura za maoni....!!

Magufuli akipata 18% ya total vote ya Urais... ashukuru Mungu..!! CCM hali ni mbayaaaa, mbayaaa sanaaa....!!! kifo lazima... imeharibu nchi hii kila kitu

umekula magadi ya kupishana na tafiti ,hivi wapi nyinyi mnazindua kampeni zenu.
 
above asilimia 80 anapata nyumbani kwenu, sio Tanzania hii,we unadhani ufisadi wake anaupeleka wapi

wewe na hiyo taasisi yenu mmevurugwa...ufisadi anao kikwete wenu mzee wa tezi dume...achen kujifariji kwa utafiti wa kijinga hata namana mlivyoandika habari yenu mmeiandika kwa ujinga zaidi.....
 
Hawa watafiti uchwara wasifananishe urais na kupiga ngoma,kama utafiti wao ulikuwa umejikita kumtafuta rais wa wapiga ngoma ni kweli Magufuli atakuwa rais wao tena kwa asilimia 100.

tafiti ni kudadisi ,sasa bwana unachopaniki nini katika haya au ndo ushapagawaa na tafgiti zikipigwa kura si utazimia sasa!!
 
Hii inaonyesha yupo pamoja na wananchi ktk Shida zao

Yupo karibu na wananchi kwa kwenda kunywa kikombe cha babu Loliondo?
Utetezi wa kipuuzi ambao sijawahi kuuona.
Kwanini asiende kutibiwa mwananyamala na wananchi wa kawaida ndio tuone huo ukaribu wake na wananchi?
Hata hivyo mtu mwenyewe unajiita #STDVII , ndipo ukomo wako wa kufikiri ulipoishia.
 
Na mgao huu wa umeme wa masaa 13 kwa siku bado kuna bwabwa atapiga kura kwa CCM. Hizi tafiti za kufanyia chumbani ndio zilituletea Kikwete. Magufuli hafahamiki vijijini ambako hawana barabara na mijini alikojenga barabara zenye rami chini ya Kiwango watu wote wanampenda Lwaigwanan Lowassa, Magufuli hana chake
 
wewe na hiyo taasisi yenu mmevurugwa...ufisadi anao kikwete wenu mzee wa tezi dume...achen kujifariji kwa utafiti wa kijinga hata namana mlivyoandika habari yenu mmeiandika kwa ujinga zaidi.....

:dance::dance::dance::dance::dance: hivi unafanyia wapi mziki ni twanga pepeta au msondo ngoma, mambo yako kama nuhu mziwanda hivi unapendeza sana ukiimba mziki sisi tunasema #hapakazitu !
 
Kwa hesabu za harakaharaka utaona ni kwa namna gani lowasa kabla ya ibada ya pili atakuwa ameshinda,hiyo 45% minus 20 ndo za magufuli,msidhani watanzania wa sasa ni wale wa enzi za mwalimu,kumbuka kuwa vijana ndo wamejiandikisha kwa wingi kuliko wazee na hawa vijana hawajanywa maji ya kijani
 
...! Kwani Umeambiwa Ikulu Anaenda Kujenga Madaraja,? Magufuli Ni Mtendaji Tu Na Siyo Kiongozi
 
Mnajifariji Sana Labda Huo Utafiti Umefanywa Kwa Wanachama Wa CCM Tu.
 
Magufuli ikiwa atachaguliwa kuwa rais ni uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo. Magufuli ni mtu wa namna hiyo na ametuonyesha katika sekta ya ujenzi na hasa katika eneo la barabara. Moja ya masuala ambayo nayaona kama mafanikio makubwa ya serikali ya Kikwete ni ujenzi wa barabara, ukiniuliza, nitakwambia jambo hili ndilo Kikwete anapaswa kujivunia atakaporudi nyumbani kwake pale ¡®Msoga¡¯. Lakini aliyeleta mapinduzi hayo kiusimamizi ni Magufuli.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa ¡°ikitolewa tenda ya ujenzi wa barabara nchini Tanzania na India halafu nchi zote zikakabidhi tenda hizo kwa watoto wa marais wa nchi, kule India walau barabara ya ¡®kudanganyishia¡¯ itajengwa lakini hapa Tanzania unaweza usione hata kokoto¡± (tafsiri yangu). Dhana hiyo ina maana kwamba huku kwetu wizi na kujijazia manoti ndivyo vitu vinavyoshamiri na kwa tafsiri ya Mwalimu ¡°ilipasa Magufuli awe anaongoza kwa kuchukua noti za barabara na kuzijaza tumboni kwake¡±, jambo ambalo limekuwa nadra kutokea na kama liliwahi kuwepo ndiyo tutajua sasa wakati watu wataanza kutoa taarifa zake kwa sababu anataka kwenda Ikulu. Kwa uwezo huu wa kiusimamizi namuona Magufuli akisimamia miradi ya serikali kwa ustadi mkubwa hata kama siyo ¡°waziri wa miradi¡±
Magufuli urais hauwezi,hana mipango na hana ubunifu anachokiweza ni kusimamia mipango na ubunifu wa wenzake.
 
...heading imejieleza vizuri "Utafiti wambeba magufuli urais 2015"...yeye aendelee kubebwa tu na hizo ramli...
 
Yupo karibu na wananchi kwa kwenda kunywa kikombe cha babu Loliondo?
Utetezi wa kipuuzi ambao sijawahi kuuona.
Kwanini asiende kutibiwa mwananyamala na wananchi wa kawaida ndio tuone huo ukaribu wake na wananchi?
Hata hivyo mtu mwenyewe unajiita #STDVII , ndipo ukomo wako wa kufikiri ulipoishia.

Hiyo ndiyo Elimu yetu Tanzania tena ktk kumaliza utaona "LY" kwenye shati zetu wewe he?
 
Kichekesho alafu wote mnachekesha sana eti LOWASSA apate 10%, wangonjwa wa kipindupindu nyinyi nendeni mwananyamara hospital wanatoa matibabu ya bure. Wana MAGEUZI wenzangu achana na uhalo kama huu eti MAGUFULI atashinda atamshinda nani wakati ameshindwa tiari "ngoja kakee"
 
Back
Top Bottom