hata mke wake anajua lowassa hapati urais sijui wewe unapata wapi ujasiri au ndio kujipendekeza
... Kwan Mke Wake Ndo Anapga Kura? Subiri Uone Gharika.
hata mke wake anajua lowassa hapati urais sijui wewe unapata wapi ujasiri au ndio kujipendekeza
wagonjwa mahututi mnao ukawa huoni leo alikua anajikoholea bila mpangilio mmfyyuuu
Population-?
Margin of error?
Confidence level?
Sample size?
Methodology?
Tools?
haa haa we ndo uchwara kweli nan anakuambia vyombo vya habari vinapiga kura???na wanaopiga kura hawana kelele ni tunachukua tunaweka baaasi wenye pressure na kujaza watu sijui kusombelea watu mtajua wnyw!!ningeishaur tume ya uchaguzi kusiwe na kampeni kura zipigwe hata kesho!!Magufuli, CCM hawana kazi tena, kwishaaaaaa wezi wakubwa hawa.. !!
Lowassa hadi sasa katika MEDIA ZOTEEEE, yuko above 80%.......average za kura za maoni....!!
Magufuli akipata 18% ya total vote ya Urais... ashukuru Mungu..!! CCM hali ni mbayaaaa, mbayaaa sanaaa....!!! kifo lazima... imeharibu nchi hii kila kitu
above asilimia 80 anapata nyumbani kwenu, sio Tanzania hii,we unadhani ufisadi wake anaupeleka wapi
Nafikiri ukifika ofisini kwao hao jamaa utapata hivyo vitu.
Nafikiri ukifika ofisini kwao hao jamaa utapata hivyo vitu.
Na huyu je?Mpaka kafuata kikombe kwa babu unasemaje?
El na urais wapi na wapi??:A S 103: ebu jaribu kumia akili ya kufikirika kidogo......kabla ya kuongea upuuzihaa haa huo utafiti umekaa kilumumbalumumba hivi. hakuna jipya. lowasa ni rais.