Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

Naheshimu tafiti... Tafiti ni njia mojawapo ya kuuweka ukweli bayana...

Lakini tafiti hizi za uchaguzi ambazo hazioneshi idadi ya kura zitakazoharibika na zile zitakaibwa ni za kupuuza kwani zinawapotezea watu muda muhimu wa kufanya kazi...

Hii ni bila kusahau tafiti zingine ambazo utakuta mhusika huyo huyo ni mteule wa serikali, msemaji wa chama, muangalizi wa uchaguzi, mtafiti mwandamizi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa, n.k. Sasa unajiuliza mtu huyu huyu mmoja anashindwa nini kuegemea upande unakotoka kitumbua chake...???
 
above asilimia 80 anapata nyumbani kwenu, sio Tanzania hii,we unadhani ufisadi wake anaupeleka wapi

ufisadi upi mkuu tuonyeshe basi hukumu ya mahakama inayosema lowassa amethibitika kuwa ni fisadi!

Wacheni ujinga wenu wa kuwa hadaa watanzania kwa umbea wenu, waelezeni wananchi maisha bora yapo wapi! Ajira zipo wapi!

Waacheni wananchi wafanye maamuzi ya nani msafi au nani anatawafaa kuwatoa kwenye shimo la umaskini mlilo watumbukiza kwa miaka 50
 
Daktari hawezi kumwambia mgonjwa kuwa"wewe huponi huu ugonjwa wako ni lazima ufe"badala yake atamwambia yaani kesho unaweza kupona na kuruhusiwa kwenda nyumbani,ili kumfariji mgonjwa wake,hivyo mgonjwa anahitaji faraja zaidi na upendo,vivyo hivyo kwa chama tawala ukweli umeshaonekana na hata mataifa ya nje yameshaona anguko la hiki chama tawala,hivyo wanapewa matumaini ili wasianze kupaniki mapema,kwa hiyo tungoje october ili historia iandikwe
 
Wana JF wkt maswali yakiendelea juu ya huu utafiti. Mie bado najiuliza hawa REDet wamepatwa na nini kiasi kwamba cjawasikia wakitoa taarifa yoyote juu ya wagombea wa urais. Najiuliza wamekosa fund? Wanahofia takwimu hazita kuwa sambamba na mabunio yao?
 
View attachment 278949


Utafiti waonyesha Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuwa Rais

Na Mwandishi Wetu

WAKATI kesho Chama Cha Mapinduzi(CCM) kikitarajia kufanya uzinduzi wa kampeni zake kwenye viwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam, Taasisi ya Maendeleo, Vijana, Uongozi na Utawala Bora(YDG) imetoa utafiti na kuonyesha mgombea wa nafasi ya Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli anaongoza.

Utafiti huo ulitolewa jana mjini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo, Christopher Maganila, ambaye alisema katika utafiti walioufanya kuwa endapo uchaguzi mkuu ungefanyika leo, Dk Magufuli angeshinda nafasi hiyo.

Alisema matokeo hayo, yanaonyesha Dk. Magufuli angeshinda kwa asilimia 45, huku mgombea wa CHADEMA Edward Lowassa angekuwa na asilimia 10.5, huku asilimia 35 wakisema hawajaamua mgombea gani anaweza kuwa Rais kwa kuwa ni bado mapema mno.

Matokeo hayo pia yalionyesha kuwa wagombea wengine wangepata asilimia 0.1 hadi 5 huku asilimia 8 wakionekana wakisema hawajui ni mtu gani anafaa kuwa Rais kati ya wagombea waliochukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

“Huu ni utafiti huru na umefanikiwa kufika kwenye kila mkoa lakini kwa wilaya moja kwa kuwa tumeamua kuwahi ili kuona mwamko wa wananchi katika kupiga kura na kuchagua mgombea wanayemhitaji,’’alisema.

Hata hivyo, Katibu huyo mtendaji alisema sababu nyingi walizoonekana kuzitoa wananchi kuwa Dk. Magufuli atakuwa mtendaji na mtu mwenye upeo mkubwa wa kufanya kazi endapo akipewa ridhaa.

Kwa mujibu wa Katibu huyo, alisema anaamini uchaguzi wa mwaka huu, utakuwa huru na haki kwa kuwa wananchi wameonekana kuwa na mwamko katika kuchagua kiongozi atakayewaongoza.

Tatizo utafiti wenu mmeufanya wilaya ya bagamoyo
 
View attachment 278949


Utafiti waonyesha Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuwa Rais

Na Mwandishi Wetu

WAKATI kesho Chama Cha Mapinduzi(CCM) kikitarajia kufanya uzinduzi wa kampeni zake kwenye viwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam, Taasisi ya Maendeleo, Vijana, Uongozi na Utawala Bora(YDG) imetoa utafiti na kuonyesha mgombea wa nafasi ya Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli anaongoza.

Utafiti huo ulitolewa jana mjini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo, Christopher Maganila, ambaye alisema katika utafiti walioufanya kuwa endapo uchaguzi mkuu ungefanyika leo, Dk Magufuli angeshinda nafasi hiyo.

Alisema matokeo hayo, yanaonyesha Dk. Magufuli angeshinda kwa asilimia 45, huku mgombea wa CHADEMA Edward Lowassa angekuwa na asilimia 10.5, huku asilimia 35 wakisema hawajaamua mgombea gani anaweza kuwa Rais kwa kuwa ni bado mapema mno.

Matokeo hayo pia yalionyesha kuwa wagombea wengine wangepata asilimia 0.1 hadi 5 huku asilimia 8 wakionekana wakisema hawajui ni mtu gani anafaa kuwa Rais kati ya wagombea waliochukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

“Huu ni utafiti huru na umefanikiwa kufika kwenye kila mkoa lakini kwa wilaya moja kwa kuwa tumeamua kuwahi ili kuona mwamko wa wananchi katika kupiga kura na kuchagua mgombea wanayemhitaji,’’alisema.

Hata hivyo, Katibu huyo mtendaji alisema sababu nyingi walizoonekana kuzitoa wananchi kuwa Dk. Magufuli atakuwa mtendaji na mtu mwenye upeo mkubwa wa kufanya kazi endapo akipewa ridhaa.

Kwa mujibu wa Katibu huyo, alisema anaamini uchaguzi wa mwaka huu, utakuwa huru na haki kwa kuwa wananchi wameonekana kuwa na mwamko katika kuchagua kiongozi atakayewaongoza.

Maganila ..

Huyu mwanachama wa sisiem ndio katibu wa tafiti?
 
Duh kama kweli tafiti ziko hivyo mbona tuna safari ndefu? Hata wachawi siku hizi wanafanya utafiti?
 
View attachment 278949


Utafiti waonyesha Magufuli ana uwezo mkubwa wa kuwa Rais

Na Mwandishi Wetu

WAKATI kesho Chama Cha Mapinduzi(CCM) kikitarajia kufanya uzinduzi wa kampeni zake kwenye viwanja vya Jangwani, jijini Dar es Salaam, Taasisi ya Maendeleo, Vijana, Uongozi na Utawala Bora(YDG) imetoa utafiti na kuonyesha mgombea wa nafasi ya Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli anaongoza.

Utafiti huo ulitolewa jana mjini Dar es Salaam na Katibu Mtendaji wa taasisi hiyo, Christopher Maganila, ambaye alisema katika utafiti walioufanya kuwa endapo uchaguzi mkuu ungefanyika leo, Dk Magufuli angeshinda nafasi hiyo.

Alisema matokeo hayo, yanaonyesha Dk. Magufuli angeshinda kwa asilimia 45, huku mgombea wa CHADEMA Edward Lowassa angekuwa na asilimia 10.5, huku asilimia 35 wakisema hawajaamua mgombea gani anaweza kuwa Rais kwa kuwa ni bado mapema mno.

Matokeo hayo pia yalionyesha kuwa wagombea wengine wangepata asilimia 0.1 hadi 5 huku asilimia 8 wakionekana wakisema hawajui ni mtu gani anafaa kuwa Rais kati ya wagombea waliochukua fomu za kuwania nafasi hiyo.

“Huu ni utafiti huru na umefanikiwa kufika kwenye kila mkoa lakini kwa wilaya moja kwa kuwa tumeamua kuwahi ili kuona mwamko wa wananchi katika kupiga kura na kuchagua mgombea wanayemhitaji,’’alisema.

Hata hivyo, Katibu huyo mtendaji alisema sababu nyingi walizoonekana kuzitoa wananchi kuwa Dk. Magufuli atakuwa mtendaji na mtu mwenye upeo mkubwa wa kufanya kazi endapo akipewa ridhaa.

Kwa mujibu wa Katibu huyo, alisema anaamini uchaguzi wa mwaka huu, utakuwa huru na haki kwa kuwa wananchi wameonekana kuwa na mwamko katika kuchagua kiongozi atakayewaongoza.

Hiyo sample yake ni wale waliohudhuria diamond jubilee majuzi, ndio aliowadodosa mle ukumbini ndani nadhani.., angesample mtaani aone shughuli yake magamba mkubwa huyo
 
Walifanyia wapi utafiti huo? Ni kwanini CCM pekee ndo mmeuona? Wameupublisize wapi?

Mchawi.png
 
Huyu Kizee amekwisha habari yake..... #Kindoa + ccm kinammaliza kabisaa
 

Attachments

  • 1440231946800.jpg
    1440231946800.jpg
    27.4 KB · Views: 308
Huu utafiti una takwimu za uongo.
Ukichukua
Magufuli 45%
Lowasa 10.5%
Wasioamua 35%
Vyama vingine 5%
Wasiojua 8%
Jumla. 103.5%
Sasa sijui hii in hesabu gani. Mtafiti unashindwa kuweka hesabu vizuri
 
Utafiti wa wale walio andaa press conference ya DR. Slaa.
 
Back
Top Bottom